Leo EPL inaanza rasmi: Natabiri Arsenal kufa 2 kwa Crystal Palace

Leo EPL inaanza rasmi: Natabiri Arsenal kufa 2 kwa Crystal Palace

Spurs imetiki hiyo japo hilo goli 1 ndio limeharibu. Chelsea lazima itiki piga ua!
 
Man city.

Arsenyali nitafute nn mie?? Sema wameniudhi kumchukua kipenzi changu Jesus.
Man city hii timu iliyoanza kutamba 2008?

Basi utakuwa mtoto mdogo sana ndio maana unasema hivyo.

Waliozaliwa kuanzia 2000 kurudi chini kwa Uingereza ni Mashabiki wa Man U, Livapool na Arsenal na hizo ndio timu kubwa England.

Halafu Arsenal ndiyo timu inayoongoza kwa warembo, ma-handsome na ma-geneous dunia nzima.
 
Man city hii timu iliyoanza kutamba 2008?

Basi utakuwa mtoto mdogo sana ndio maana unasema hivyo.

Waliozaliwa kuanzia 2000 kurudi chini kwa Uingereza ni Mashabiki wa Man U, Livapool na Arsenal na hizo ndio timu kubwa England.

Halafu Arsenal ndiyo timu inyoongoza kwa warembo, ma-handsome na ma-geneous dunia nzima.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaah. Hapanaaa.
 
mkuu jaribu kuchunguza waliozaliwa mwaka huo wote wanaishabikia Man U
 
Ikiwa ligi kuu ya uingereza inaanza leo kaa karibu yangu niweze kukubashiria matokeo sahihi ya weekend hii! Kwa kuanza Arsenal anakufa 2-1.
Chelsea anadraw 1-1
Liverpool anashinda 3-1
Spurs anashinda 4-0
Newcastle anashinda 2-1
Aston villa anadraw 0-0
Leeds anadraw 2-2
Westham anashinda 1-0
Man utd anakufa 2-1
Brentford anadraw 1-1
Karibuni! Thank me later!
Aibu yako mganga wa kienyeji
 
Back
Top Bottom