[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mwanga sana wee jamaa ,sisi Chelsea mbona mnatuchukia hivi...
Ngoja tuone boss. Ila wanacheza vzrMuda bdo mkuu arsenal kawaida yake kutangulia! Game bdo bichi kabisa.
Tayali asernal kashindaSave hii post for future uses!
Kocha wachezaji wote wamatumbi 😀😀😀Crystal palace wachezaji wote ni wamatumbi.
Sawa mkuuIkiwa ligi kuu ya uingereza inaanza leo kaa karibu yangu niweze kukubashiria matokeo sahihi ya weekend hii! Kwa kuanza Arsenal anakufa 2-1.
Chelsea anadraw 1-1
Liverpool anashinda 3-1
Spurs anashinda 4-0
Newcastle anashinda 2-1
Aston villa anadraw 0-0
Leeds anadraw 2-2
Westham anashinda 1-0
Man utd anakufa 2-1
Brentford anadraw 1-1
Karibuni! Thank me later!
[emoji28] Mechi ya kwanza tu! Moja ya dalili mbayaMechi ya kwanza tu chali!
Betting nayo ina watu wake njoo tu huku tulime miwa.
Ndo ushafeli..Muda bdo mkuu arsenal kawaida yake kutangulia! Game bdo bichi kabisa.