Leo hii Jean Baleke ni wa kucheza Samia Cup ya Mtaani yenye Uwanja Mita 50?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kwani Yanga SC kama hamumtaki mnashindwa nini kumlipa tu Fedha zake ili arejee Kwao Kisangani akatunge Nyimbo?
 
Kwani Yanga SC kama hamumtaki mnashindwa nini kumlipa tu Fedha zake ili arejee Kwao Kisangani akatunge Nyimbo?
Atakuwa anasubiria mshiko wake kwa Vilaza wa Utopolo Jangwani.

Wachezaji wa kigeni hapo ndipo shambani kwa bibi yao.

Hao jamaa hapo kwenye jangwa la njano lenye tope jingi na vyura sidhani kama wapo serious. Niliona juzi wanapeleka timu uwanjani wakati hakuna refa wala kamisaa wala nani, NIKASEMA HILI LITIMU NI UTOPOLO KWELI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…