Leo hii Nov 12, 2021 Serikali ya Uingereza imetangaza kusitisha mpango wa kuajili Manesi kutoka Kenya

Leo hii Nov 12, 2021 Serikali ya Uingereza imetangaza kusitisha mpango wa kuajili Manesi kutoka Kenya

luangalila

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2014
Posts
6,346
Reaction score
6,928
Ni takribani miezi 3 kupita baada ya Uingereza na kenya kukubaliana mpango wa kuwa ajiri wahudumu wa afya (nurses) kutoka Kenya, Leo hii Nov 12, 2021 serikali ya uingereza imetangaza kusitisha mpango huo na kisha kuhoji uhaba wa nurses ktk vituo vya afya vya kenya, ikisema Kenya inahitaji wahudumu hao wa afya kuliko Uingereza hivyo imesitisha mpango huo ,

Hili limekuja baada ya majumaa 2 kupita ambapo nurses 10 tu walifaulu mtihani wa lugha ya kingereza na watahiniwa (nurses) 300 walishindwa mtihani wa English ili kupata kibali cha kufanyia kazi ktk shirika la afya la Uk (NHS).


Jambo hili limeibua mjadala na masononeko kwa baadhi ya wataalam wa afya ambao walikuwa na nia ya kuwania fursa iyo.
 
Ni takribani miezi 3 kupita baada ya Uingereza na kenya kukubaliana mpango wa kuwa ajiri wahudumu wa afya (nurses) kutoka Kenya, Leo hii Nov 12, 2021 serikali ya uingereza imetangaza kusitisha mpango huo na kisha kuhoji uhaba wa nurses ktk vituo vya afya vya kenya, ikisema Kenya inahitaji wahudumu hao wa afya kuliko Uingereza hivyo imesitisha mpango huo ,

Hili limekuja baada ya majumaa 2 kupita ambapo nurses 10 tu walifaulu mtihani wa lugha ya kingereza na watahiniwa (nurses) 300 walishindwa mtihani wa English ili kupata kibali cha kufanyia kazi ktk shirika la afya la Uk (NHS).


Jambo hili limeibua mjadala na masononeko kwa baadhi ya wataalam wa afya ambao walikuwa na nia ya kuwania fursa iyo.
do you hate Kenyans so much that you're willing to embarrass yourself?!
 
Kumbe wa kenya nao ni vilaza kwenye lugha ya malkia..sasa mbona wanatuchekaga sisi wamatumbi...acheni dharau wakenya hatuchekani kwa hili tuko sawa.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaan wa UK ni washenzi sana yaan wame kubaliana vizuri na wameweka sign kuwaruhusu waje wafanye kazi UK, alafu waka watungia mtihani mgumuuuuu wa lugha ......wazungu washenzi sanaa
 
English, shmenglish
Hilo Ni lilugha Tu kama kisukuma,kijaluo au kimasai
Wala sio kipimo cha akili..hata huko uingereza Kuna vichaa kabisa wodini ila wanatwanga ung'eng'e wa kutosha..

Tupende vyakwetu... Kiswahili Ni lugha Bora kuliko Hiko kiingereza.

Kama UK wamesitisha kwasababu Za Kuwa hata KE Kuna upungufu wa manesi hapo Sawa ...lakini kama sababu Ni lugha basi kumbe Serikali ya UK nao Ni vilaza tupu
 
Yaan wa UK ni washenzi sana yaan wame kubaliana vizuri na wameweka sign kuwaruhusu waje wafanye kazi UK, alafu waka watungia mtihani mgumuuuuu wa lugha ......wazungu washenzi sanaa
Huo mtihani unakuta hata wazawa wa UK wangefanya wangefeli
 
Yaan wa UK ni washenzi sana yaan wame kubaliana vizuri na wameweka sign kuwaruhusu waje wafanye kazi UK, alafu waka watungia mtihani mgumuuuuu wa lugha ......wazungu washenzi sanaa
Mimi sio hao wazee wa "kaunti" ila hili nimebak nashangaa tu. sasa c wamewasumbua t watu Kwa waliyofanya ...
 
Mimi sio hao wazee wa "kaunti" ila hili nimebak nashangaa tu. sasa c wamewasumbua t watu Kwa waliyofanya ...
Wale 10 waliotusua pepa wao wameruhusiwa kwenda ila ndio pekee na mwisho yaan hawachukua wengine tena

Note : hawa 10 wana kwenda kufanya kazi ktk hospitali za serikali
 
do you hate Kenyans so much that you're willing to embarrass yourself?!
There is a big difference between hate and addressing facts as they unfold on the ground. Massive failure of Kenyan nurses in aptitude test that involved basic English grammar has put Kenyan education system in the spotlight. I really think that, the disturbing quality of such nurses has caused UK to walk out of the deal, using local shortage of nurses as a pretext.
 
Huo mtihani unakuta hata wazawa wa UK wangefanya wangefeli
Uajua kenya wnasema wale wana diaspora wanachangia kwa kiasi kikubwa sana maendelwo ya uchumi wa nchi yao (remittance)
Na jamaa waana jua ku tafuta fursa sanaa, ukiangalia ile list ya passport zenye nguvu dunian Kenya na Tz zimefungana lkn wenzetu wana diaspora wengi mnoo wanao changia maendeleo ktk taifa lao
 
Kama wakenya 10 ndio wamefaulu kiingereza, sisi huku asingefaulu hata mmoja
Mh.iyo mitihan bongo watu wana ipasuaga sanaa,
Unajua mbongo huwa ukisha mpa tu muda wa kujipanga na paper tayar kakumaliza

Sasa hawa 300 unajua walijua ah si ni hii english kila siku naongea hapa Nairobi 😆😆 kumbe sioooo
 
Mh.iyo mitihan bongo watu wana ipasuaga sanaa,
Unajua mbongo huwa ukisha mpa tu muda wa kujipanga na paper tayar kakumaliza

Sasa hawa 300 unajua walijua ah si ni hii english kila siku naongea hapa Nairobi 😆😆 kumbe sioooo
😄😄 Nenda pale British council ndipo utaona Kama wanaipasuaga kila siku tena wawe ndio Hawa manesi wetu? Hiiiiiiiiiiiii
 
English, shmenglish
Hilo Ni lilugha Tu kama kisukuma,kijaluo au kimasai
Wala sio kipimo cha akili..hata huko uingereza Kuna vichaa kabisa wodini ila wanatwanga ung'eng'e wa kutosha..

Tupende vyakwetu... Kiswahili Ni lugha Bora kuliko Hiko kiingereza.

Kama UK wamesitisha kwasababu Za Kuwa hata KE Kuna upungufu wa manesi hapo Sawa ...lakini kama sababu Ni lugha basi kumbe Serikali ya UK nao Ni vilaza tupu
Watu kutumia lugha yao ni jambo zuri ila kuna mazingira ambayo kujua lugha zaidi ya ile ya kwako kuna faida zake. Hakuna uthibitisho wowote kuwa Kiswahili ni bora zaidi ya Kiingereza. Kama UK imesitisha mpango huo kutokana na changamoto za lugha pia wako sawa, wanataka wauguzi wanaoweza kuelewa vizuri mwagonjwa na madaktari, siyo dokta anasema lete mkasi afu muuguzi anapeleka karai.
 
Mbona wadau hamjaona hoja ya msingi kwenye hii habari badala yake mmelishikilia swala la lugha?

Wamesema Kenya kuna maeneo hospital hazina hao watumishi na imeonekana Kenya inawahitaji zaidi kuliko Uingereza.
Mimi nimeelewa.
 
There is a big difference between hate and addressing facts as they unfold on the ground. Massive failure of Kenyan nurses in aptitude test that involved basic English grammar has put Kenyan education system in the spotlight. I really think that, the disturbing quality of such nurses has caused UK to walk out of the deal, using local shortage of nurses as a pretext.
You mean hiyo shortage haipo?
 
Back
Top Bottom