permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 11,682
- 14,241
Tuambie wale waliofaulu nao wameambiwa wabakie Kenya kutokana na huo upungufu, na unataka kusema mpaka UK inaingia hilo deal na Kenya hawakuwa wamefanya tathmini ya kutosha?Mbona wadau hamjaona hoja ya msingi kwenye hii habari badala yake mmelishikilia swala la lugha?
Wamesema Kenya kuna maeneo hospital hazina hao watumishi na imeonekana Kenya inawahitaji zaidi kuliko Uingereza.
Mimi nimeelewa.
Sijui kwa kweli!!Tuambie wale waliofaulu nao wameambiwa wabakie Kenya kutokana na huo upungufu, na unataka kusema mpaka UK inaingia hilo deal na Kenya hawakuwa wamefanya tathmini ya kutosha?
All the best Chief.Nataka nitafute muda nikatest zali niangalie
Acha izo ww wapo wanao pasua wengi off course, unajua izi mitihani unafanya pale unapohitajika mfano mtu unaenda kusoma ng'ambo baadhi ya vyuo wata kutaka ufanye iyo paper, au issue za kazi😄😄 Nenda pale British council ndipo utaona Kama wanaipasuaga kila siku tena wawe ndio Hawa manesi wetu? Hiiiiiiiiiiiii
Wale 10 hili katazo halitawahusu .Tuambie wale waliofaulu nao wameambiwa wabakie Kenya kutokana na huo upungufu, na unataka kusema mpaka UK inaingia hilo deal na Kenya hawakuwa wamefanya tathmini ya kutosha?
😄😄 Nimekwambia nenda pale British council ukajionee,wewe so unasikia tu.Acha kusimuliwa tu.Acha izo ww wapo wanao pasua wengi off course, unajua izi mitihani unafanya pale unapohitajika mfano mtu unaenda kusoma ng'ambo baadhi ya vyuo wata kutaka ufanye iyo paper, au issue za kazi
Sasa kwa hawa 300 hawa ndugu zetu hapa wamepuyangaa
😄😄 Nenda pale British council ndipo utaona Kama wanaipasuaga kila siku tena wawe ndio Hawa manesi wetu? Hiiiiiiiiiiiii
😄😄 Nimekwambia nenda pale British council ukajionee,wewe so unasikia tu.Acha kusimuliwa tu.
Na nakwambia eti hawa manesi wetu na kiingereza Chao Cha ugoko hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Kheri umemwambiaMbona mim mwenyewe Na kaenglish kangu broken nilifanya online test Za IELTS Na TOEFL...IELTS nilipata band 8 Na TOEFL nilipata 109 score ...ambazo ni proficient speaker ambaye anachukuliwa kwenye top Ivy League university yoyote... English sio ngumu kihivyo msidanganye watu... Kiswahili ndo kigumu
😄😄😄 Labda kiswahili Cha Chato ndio kigumu na kiingereza Cha Tinde ndio kirahisi.Nilifanya test zao najua ninachosema na manesi wetu Hawa wa elimu ya hapa na pale hakuna wakufaulu hata mmoja.Mbona mim mwenyewe Na kaenglish kangu broken nilifanya online test Za IELTS Na TOEFL...IELTS nilipata band 8 Na TOEFL nilipata 109 score ...ambazo ni proficient speaker ambaye anachukuliwa kwenye top Ivy League university yoyote... English sio ngumu kihivyo msidanganye watu... Kiswahili ndo kigumu
Wewe tatizo unahisi Kiswahili cha kukupima Ni Sawa Na hiki cha mtaani...waulize waliosoma HKL somo Gani liliwapa Shida...Kati ya bachelor ya Kiswahili Na ya kiingereza ipi ngumu...😄😄😄 Labda kiswahili Cha Chato ndio kigumu na kiingereza Cha Tinde ndio kirahisi.Nilifanya test zao najua ninachosema na manesi wetu Hawa wa elimu ya hapa na pale hakuna wakufaulu hata mmoja.
Nnachokwambia Ni kimoja tu,manesi wetu asingetoboa hata mmoja.Wewe tatizo unahisi Kiswahili cha kukupima Ni Sawa Na hiki cha mtaani...waulize waliosoma HKL somo Gani liliwapa Shida...Kati ya bachelor ya Kiswahili Na ya kiingereza ipi ngumu...
Sema all in all my point Ni Kuwa usikisifu kiingereza kama ni lugha ya Mungu...mtu anaweza asikijue vizuri lakini akawa professional kwenye Kazi kuliko aliyekariri ma verbs Na vocabularies... inawezekana Hao manesi waliofeli mtihani Wana ujuzi kuliko waliofaulu.
Na relatively speaking kiingereza Ni lugha rahisi kujifunza kuliko Kiswahili maana yangu nesi mbongo akienda uingereza Na wa uingereza akaja bongo baada ya muda mchache Yule aliyeenda uingereza Atakuwa amekimasta kiingereza kuliko huyu aliyekuja bongo kukijua Kiswahili.
Na kama lugha Ni kikwazo cha professialism mbona duniani kote wanaajiriwa expats Na wanalipwa vizuri kuliko locals?Na expats wanakuja mf. Hapa Tz hawajui ata msamiati mmoja wa Kiswahili.
Let's agree to disagreeNnachokwambia Ni kimoja tu,manesi wetu asingetoboa hata mmoja.
familiarize yourself with the facts before coming here to spew all that drivel. the guts you have to lecture anyone about facts when clearly your grasp of the facts is sh!t at best.There is a big difference between hate and addressing facts as they unfold on the ground. Massive failure of Kenyan nurses in aptitude test that involved basic English grammar has put Kenyan education system in the spotlight. I really think that, the disturbing quality of such nurses has caused UK to walk out of the deal, using local shortage of nurses as a pretext.
Yapping like a malnourished dog, why UK is planning to be involved directly in the training and supervision of nurses' exams in Kenya? Your head is wrongly wired in such a way that normal reasoning is out of reach.familiarize yourself with the facts before coming here to spew all that drivel. the guts you have to lecture anyone about facts when clearly your grasp of the facts is sh!t at best.
Plan to recruit Kenyan nurses to continue, UK says
Kagwe Marriot say the recruitment mechanism has been strengthened in accordance with WHO code of practicewww.the-star.co.ke
The deal is still on unlike what you thought. now you can choose to accept that you were wrong or you can choose to argue against the facts like an idiot....but then again it is your God given right to be an idiot. don't let pesky little facts deny you that rightYapping like a malnourished dog, why UK is planning to be involved directly in the training and supervision of nurses' exams in Kenya? Your head is wrongly wired in such a way that normal reasoning is out of reach.
familiarize yourself with the facts before coming here to spew all that drivel. the guts you have to lecture anyone about facts when clearly your grasp of the facts is sh!t at best.
Plan to recruit Kenyan nurses to continue, UK says
Kagwe Marriot say the recruitment mechanism has been strengthened in accordance with WHO code of practicewww.the-star.co.ke
Well and good
it's only a good thing if the ministry/government realizes that it needs to step up it's game and learn from their mistakes. they've mismanaged this whole situation.Well and good