Leo huenda ikawa siyo siku nzuri kwa Rais wa TFF Malinzi kwani Mapacha hawa kuchukua Fomu rasmi

aseee...itabidi lile faili lake pale Upanga liitwe haraka sana...ila nasikia JM ameungana na Mlamu Mng'ami wa Dodoma ,na anategemea sapoti ya FoS ,ngoja nitarudi kumwaga vitu hapa
 
aseee...itabidi lile faili lake pale Upanga liitwe haraka sana...ila nasikia JM ameungana na Mlamu Mng'ami wa Dodoma ,na anategemea sapoti ya FoS ,ngoja nitarudi kumwaga vitu hapa
Hayo ni maneno tuu hata kwenye khanga yapo. Naona Malinzi anawakosesha sana raha,hamlali wala kula na kunywa vizuri.

Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
 
Kwa wasiojua mpira unaongozwa na Malinzi as the individual or unaongozwa na kamati ya utendaji as a team ndio watamlaumu Malinzi. Kama walichaguliwa kamati ya utendaji wasiokuwa na meno hayo ndio madhara yake.
 
Nakumbuka uchaguzi wa kwanza uliomuengua Mzee Ndolanga na kumuweka Tenga madarakani! Serikali ikiamua jambo lake na kulisimamia haishindwi kirahisi! Siamini kama serikali itakuwa na Malinzi
Shikamoo mkuu
 
kwenye TFF TUNASEMA BURIAN MALINZI AVEVA AND CO LTD
 
Duuuuh kuna watu inaelekea mnafahamu fitna sana!!!

Nikisema muwe mnanisikiliza na pia muwe makini na niyasemayo. Nashukuru lile nililolisema hatimaye leo limetimia na nimalizie tu kwa kusema kwa Rais wa TFF Jamal Emil Malinzi " Mission has been Accomplished ". Tunamtakia tu kila la kheri kama ni huko rumande Segerea kwa sasa au Gerezani mara baada ya hukumu yake rasmi kutolewa.
 
Mkuu shikamoo maana kwasasa ndio nimekuelewa ulichokuwa unamaanisha. Shikamoo tena

Marahaba na sasa muwe na adabu zote ninapokuwa natahadharisha vitu / mambo hasa yale ' Nyeti ' kabisa humu JF.
 
Frank Wanjiru.. Kiongozi umeingia field nini? Ukitoka field naomba update kuhusu Mr President wa TFF

Ndiyo Yeye aliyeenda kulala jana Segedansi na Jumatatu atakuwepo tena Kisutu ambapo makosa yake hayo 28 yatapunguzwa hadi kubaki 6 au 3 na baada ya hapo atarudishwa tena rumande ' Segadansi ' mpaka baada ya wiki mbili na akirudi tena moja kwa moja kupewa ' Hukumu ' na kuanza maisha yake mapya kati ya Segerea au Keko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…