Leo ilipaswa kuwa mwaka 2031, Error katika upangaji wa Calender imetufanya tuwe 2024

Leo ilipaswa kuwa mwaka 2031, Error katika upangaji wa Calender imetufanya tuwe 2024

kwanini wewe unalimit kwamba angekwepo lazima angefanya hivi, mawazo yake si mawazo ya mwanadamu,

ndo maana nilikwambia nilichogundua kwako wewe kuna vitu vyako ulivyo navyo kichwani ulitaka vikiwa hivyo ndo uamini yupo ila mambo hayaendi hivyo
Siyo mimi nina limit, hiyo ni logical consistency kutokana na maelezo yenu kwamba yupo.

Ilikuwa hivyo kabla mimi sijazaliwa, kwa hivyo si suala langu.

Ni kweli mawazo yake huyo Mungu si mawazo ya mwanadamu, kwa sababu huyo Mungu hayupo, hana mawazo.

Ukibisha thibitisha Mungu yupo.
 
Sioni hata kama ina umuhimu hata mkisema tupo mwaka 20000
 
Mkuu simu haijajaa tu.
Hahaha
Joke
Screenshot_20240703-204113.png

imepekeka kidogo nimeitoa
 
calendar ni man made thing, civilization nyingi zina calendar tofauti, sisi tunafuata ya wakoloni wetu(Gregorian calendar ), sio kila nchi leo ni 2024, mfano Ethiopia leo ni 2014
Kabla ya kufuata ya Mkoloni, je kalenda ya Mtu mweusi ilikuwa ipi?
 
Hivi wakati Juliasi Kaisari (Julius Caesar) anafanya hayo yote je Babu zetu wa Nyagurung'ombe, Sing'isi na Kishumundu walikuwa wapi?
 
Rudi nyuma utaelewa na kichwa chako kigumu
Kama kweli sijaelewa. Hata kutoelewa kwangu nako ni ushahidi kwamba Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.

Haya ni mambo ya watu tu kujitungia.

Mungu huyo angekuwapo, kutoelewa kusingewezekana kwa yeyote.

You are making my point.
 
Kama kweli sijaelewa. Hata kutoelewa kwangu nako ni ushahidi kwamba Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.

Haya ni mambo ya watu tu kujitungia.

Mungu huyo angekuwapo, kutoelewa kusingewezekana kwa yeyote.

You are making my point.
Bakia na imani yako as atheist it doesn't affect we believers anyhow
 
Kabla ya kufuata ya Mkoloni, je kalenda ya Mtu mweusi ilikuwa ipi?
Tulikuwa nazo ingawaje ni tofauti na hizi, nyingine zilikuwa zinaenda na majira kama kiangazi,masika, mafuriko etc na wanyama fulani pia walikuwa wakionekana walikuwa wanawatumia kujua wakati tuliopo au kinachofuata, hatuna records maana mkoloni alifuta Kila kitu ila kinamna fulani zilikuwa effectively na zilikuwa zinafanya kazi waliyokusudia
 
Bakia na imani yako as atheist it doesn't affect we believers anyhow
Kutokubali Mungu yupo si imani. Ni kukosa imani.

Na imani si kitu muhimu kwangu, nuhimu ni facts.

The fqct us, hujathibitisha Mungu yupo.

Hayo mambo ya imani kila ntu anaruhusiwa kuamini anavyotaka, hii ni haki ya kiutu na kikatiba.
 
Back
Top Bottom