Leo ilipaswa kuwa mwaka 2031, Error katika upangaji wa Calender imetufanya tuwe 2024

Leo ilipaswa kuwa mwaka 2031, Error katika upangaji wa Calender imetufanya tuwe 2024

ahaa kumbe wewe umeamua tu kuamini hayupo kwasababu ya logic

kuna vitu vingi sayansi haina Majibu

hili ni mojawapo
Hiki si suala la kuamini, ni suala la kujua. Kuamini una haki ya kuamimini unachotaka.

Sayansi kutokuwa na jibu ni sayansi kutokuwa na jibu, sasa kwa nini unataka kufanya sayansi kutokuwa na jibu jibu liwe Mungu?

Yani unalazimisha sayansi kutokuwa na jibu iwe ni uthibitisho kwamba Mungu yupo? Kivipi?
 
Hiki si suala la kuamini, ni suala la kujua. Kuamini una haki ya kuamimini unachotaka.

Sayansi kutokuwa na jibu ni sayansi kutokuwa na jibu, sasa kwa nini unataka kufanya sayansi kutokuwa na jibu jibu liwe Mungu?

Yani unalazimisha sayansi kutokuwa na jibu iwe ni uthibitisho kwamba Mungu yupo? Kivipi?
na pia kutokua na uthibitisho kwamba yupo sio kigezo kwamba hayupo
 
na pia kutokua na uthibitisho kwamba yupo sio kigezo kwamba hayupo
Sawa.

Lakini mimi nasema hayupo si kwa sababu tu hakuna uthibitisho kwamba yupo.

Nasema hayupo pia kwa sababu dhana ya kuwapo kwake ina internal contradiction, internat contradiction inayoonesha kuwa hayupo, unaelewa hilo?
 
Kwasababu yesu ni Mungu
Yesu hayupo na hajawai kuwepo, walianzisha huo mfumo wa B.C na A.D ili kutambua matukio kabla ya kuunda ukristo wa kufuata imani ya Mungu mwana wa kigiriki ambaye nae alicopiwa kutoka misri(Afrika) na baadae kumuita Yesu, hiyo A.D maana yake ni age after the invention of Fake Savior(jesus christ) ambaye kiuhalisia ni Mzimu wa zamani za misri ama Afrika ya mababu wa kale.

Kiufupi tu dunia ina maelfu na mamilioni ya miaka, hao walioleta hizi kalenda hasa hii tunayotumia wao wenyewe wameiba huo mfumo wa mahesabu na kuleta uzushi wa siku 31,30 ktk mwezi badala ya siku 28, pia ndio hawa hawa miezi 12 ya mwaka wameipa majina ya mizimu yao, dunia tukiitizama kiasilia tutagundua mambo mengi tumepigwa, tumeaminishwa ushenzi mtupu
 
Bila kujali unachoamini, Je, Yesu hakuzaliwa?
Ninachoamini si muhimu katika facts.

Kwa kufuata ushahidi wa historicity, Yesu alizaliwa, lakini si miaka 2024 iliyopita.

Point yako nini?
 
Sawa.

Lakini mimi nasema hayupo si kwa sababu tu hakuna uthibitisho kwamba yupo.

Nasema hayupo pia kwa sababu dhana ya kuwapo kwake ina internal contradiction, internat contradiction inayoonesha kuwa hayupo, unaelewa hilo?
Sawa.

Lakini mimi nasema hayupo si kwa sababu tu hakuna uthibitisho kwamba yupo.

Nasema hayupo pia kwa sababu dhana ya kuwapo kwake ina internal contradiction, internat contradiction inayoonesha kuwa hayupo, unaelewa hilo?
ok hiyo pia ni kwasababu dunia nzima haiwezi kuamini kwa namna moja
 
Yesu hayupo na hajawai kuwepo, walianzisha huo mfumo wa B.C na A.D ili kutambua matukio kabla ya kuunda ukristo wa kufuata imani ya Mungu mwana wa kigiriki ambaye nae alicopiwa kutoka misri(Afrika) na baadae kumuita Yesu, hiyo A.D maana yake ni age after the invention of Fake Savior(jesus christ) ambaye kiuhalisia ni Mzimu wa zamani za misri ama Afrika ya mababu wa kale.

Kiufupi tu dunia ina maelfu na mamilioni ya miaka, hao walioleta hizi kalenda hasa hii tunayotumia wao wenyewe wameiba huo mfumo wa mahesabu na kuleta uzushi wa siku 31,30 ktk mwezi badala ya siku 28, pia ndio hawa hawa miezi 12 ya mwaka wameipa majina ya mizimu yao, dunia tukiitizama kiasilia tutagundua mambo mengi tumepigwa, tumeaminishwa ushenzi mtupu
wewe kasome kwanza historia, tofauti na kwenye vitabu vya dini ( ancient history ),

kisha fuatilia archeolological discoveries kulingana na yanayosemwa kwenye history,

sayansi, historia. havi doubt kuhusu uwepo Kristo kama alivyo elezwa kwenye Bible na Quran
 
ok hiyo pia ni kwasababu dunia nzima haiwezi kuamini kwa namna moja
Kwanza kabisa kuamini si muhimu, muhimu ni ukweli, fact. Ukweli haujali imani.

Na hata kwenye imani, dunia kutoamini kwa namna moja nako ni uthibitisho kwamba Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.

Angekuwepo, angetupa wote uwezo wa kujua ukweli, kungekuwa hakuna kuamini, kungekuwa kuna kujua ukweli mmoja tu.

Umeelewa?
 
Hata huyo Yesu hatumiki kama rejea kwa wasomi leo.

Ukisema BC au AD kwa wasomi wa keo unaonekana dated and not inclusive.

Watu walioelimika wanatumia Before Common Era na After Common Era.

Sasa huyo Yesu kama Mungu alishindwa kufanya watu wapatie mwaka aliozaliwa?

Hamuoni kuwa hayo makosa katika miaka yanaonesha huyo Yesu si Mungu, hiyo habari ni ya kutungwa na watu tu?
Wewe una laana kali sana.
 
Kwanza kabisa kuamini si muhimu, muhimu ni ukweli, fact. Ukweli haujali imani.

Na hata kwenye imani, dunia kutoamini kwa namna moja nako ni uthibitisho kwamba Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.

Angekuwepo, angetupa wote uwezo wa kujua ukweli, kungekuwa hakuna kuamini, kungekuwa kuna kujua ukweli mmoja tu.

Umeelewa?
kwanini wewe unalimit kwamba angekwepo lazima angefanya hivi, mawazo yake si mawazo ya mwanadamu,

ndo maana nilikwambia nilichogundua kwako wewe kuna vitu vyako ulivyo navyo kichwani ulitaka vikiwa hivyo ndo uamini yupo ila mambo hayaendi hivyo
 
Wewe una laana kali sana.
Hata ikiwa kweli nina laana kali.

Mimi kuwa na laana kali nako kutakuwa ni uthibitisho kwamba Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.

Kwa sababu, katika ulimwengu ulioumbwa na Mungu huyo hakutakiwi kuwe na laana ya aina yoyote ile.
 
Back
Top Bottom