Mkuu haya madude tatizo ni magumu ndo mana nashangaa hii astronomy nina vitabu vyake kama vitatu hivi lakini nashindwa kuelewa kabisa...
Sasa assume jamaaa anasoma then anaelewa kile kitu anakuja ana explain kwetu aiseee unazani hiyo ni kitu simple...
Kuna watu wanaletaga vitu hapa kwa msaada wa Google translate ila huyu jamaa yeye ka deep down kaelewa concepts nzima..
Daaah mi mtu wa namna hii huwa na m term as genius.. mkuu astronomy ni ngumu wewe...
Naona madogo wanaosoma Bsc in physics inavyo wakalisha hii kitu acha kabisa..
Jamaa apewe maua yake..
Yaani kama kuchambua hayo mambo ni burudani yake assume tuu kama anakuaga na muda wa watoto huyu jamaa ahahahahha.
Ila salout kwako
NadeOj aiseeee