Leo imeniuma sana baada ya kujikuta usiku wa leo natembea na shemeji yangu

Mmmmh, unanitisha mzee.
Sio anakutisha yuko sahihi tu! Kama ulienda dry bila ndomu kaa ukijua wanawake wa sasa wengi wana maradhi mengi ndani ya nyuchi zao usitishwe na ma shape yao, kuna gono, kaswende, kisonono, PID hivi unaijua PID wewe inavyowatesa wamama/wadada wengi asaiv sio poa! Haya kuna UTI, hivi unajua ya kua mara nyingi mwanaume anapata UTI kupitia ngono kutoka kwa mwanamke? Tena UTI ya kuambukizwa hivyo ina nguvu hatari ikianza kukushambulia sabu unakua umekusanya wadudu wengi kwa urahisi..
 
Hata Daudi alimla mke wa Uria, tena yeye alidhamiria kabisa. Hizi mambo zimeanza samani sana.
 
Huu uzi upeleke kule kwenye category pendwa. Kula tunda Kimasighara.
 
ulidhamiria kabisa.

ungemkataa mapema alipokuambia anakuja, kabla mambo hayajawa mengi.

Shangaa na wewe mheshimiwa, eti anasema bila kukusudia.
Cha ajabu sasa, hizo sifa zote anamdondoshea shem lakini utakuta rafiki yake ana mwanamke/ wanawake wengine.

Hata yeye akisusiwa akapewa huyu shem wotewote kikwelikwelii bado atatafuta tu kuona channel nyingine zinaonyesha vitu gani.

Msichoke kutuombea 2022.
 
Kama sio mkewe haina shida. Pia usiwe mnafiki, punguza ukaribu na huyo rafiki yako. Ikiwezekana ua kabsa huo urafiki.
 
Mbona hujaumia wala kujutia zaidi ninachokiona ni kujipongeza na kusifia nyapu? Mod wekeni huu uzi kwenye kundi lake kuna mtu kashaliwa kimasihara..
 
Kula tundra kimasihara,
Uzi uunganishwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…