green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 12,387
- 39,119
07 October 23 ndio kipigo Cha kuwafurusha kilianza rasmi kwa Wavamizi wa Kiyahudi toka Nchini Poland na bara Ulaya waliovamia Palestine kwa ajili ya kulinda maslahi ya mabeberu wa Ulaya.
Israel imekua ikitajwa kama taifa Lenye Silaha na Tech za kisasa lkn kipigo kimekuja kuwaumbua baada kuingiliwa hadi chumbani na kusulubiwa na Wapigania uhuru wa Hamas.
Sasa ni mwaka wameshindwa kudhibiti kikundi kidogo zaidi wameishia kulenga Shule, Hospital, na Makazi ya raia.
Israel imekua ikitajwa kama taifa Lenye Silaha na Tech za kisasa lkn kipigo kimekuja kuwaumbua baada kuingiliwa hadi chumbani na kusulubiwa na Wapigania uhuru wa Hamas.
Sasa ni mwaka wameshindwa kudhibiti kikundi kidogo zaidi wameishia kulenga Shule, Hospital, na Makazi ya raia.