Paschal qamara
JF-Expert Member
- Aug 17, 2022
- 2,218
- 3,958
Sasa hamas wameisaidia nini gaza zaidi gaza imegeuzwa majivu na wapalestina wameuawa kama kukuViongozi wa hamas sio hamas kwani baada ya wao kufa hamas nayo nimekufa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hamas wameisaidia nini gaza zaidi gaza imegeuzwa majivu na wapalestina wameuawa kama kukuViongozi wa hamas sio hamas kwani baada ya wao kufa hamas nayo nimekufa
Wewe unapigana wayahudi ukiwa wapi? Hizi stori mnazodanganyana misikitiniMayahudi. Tutayapiga hadi yaone cha mtema kuni.
Juzi al-ijumaa tulipewa mawaidha murua kabisa.Naapa,mayahudi tutawapiga tu.Fumba macho nikuombee dua njema ndugu yangu. 🙏😎Wewe unapigana wayahudi ukiwa wapi? Hizi stori mnazodanganyana misikitini
nikikumbuka benja alisemaga wiki tu narudi na mateka wote najikuta natafuta mahali walipoandika myahudi mteule nisome vizuri07 October 23 ndio kipigo Cha kuwafurusha kilianza rasmi kwa Wavamizi wa Kiyahudi toka Nchini Poland na bara Ulaya waliovamia Palestine kwa ajili ya kulinda maslahi ya mabeberu wa Ulaya.
Israel imekia ikitajwa kama taifa Lenye Silaha na Tech za kisasa lkn kipigo kimekuja kuwaumbua baada kuingiliwa hadi chumbani na kusulubiwa na Wapigania uhuru wa Hamas.
Sasa ni mwaka wameshindwa kudhibiti kikundi kidogo zaidi wameishia kulenga Shule, Hospital, na Makazi ya raia.
Hamas wamewaaibisha mno mazayuni.07 October 23 ndio kipigo Cha kuwafurusha kilianza rasmi kwa Wavamizi wa Kiyahudi toka Nchini Poland na bara Ulaya waliovamia Palestine kwa ajili ya kulinda maslahi ya mabeberu wa Ulaya.
Israel imekia ikitajwa kama taifa Lenye Silaha na Tech za kisasa lkn kipigo kimekuja kuwaumbua baada kuingiliwa hadi chumbani na kusulubiwa na Wapigania uhuru wa Hamas.
Sasa ni mwaka wameshindwa kudhibiti kikundi kidogo zaidi wameishia kulenga Shule, Hospital, na Makazi ya raia.