Leo Imetimia mwaka mmoja toka Israel ianze kupewa kipigo

Khaa!!!haya mambo kumbe kunawatu Mpo nayo siriazii kiasi hiki?
 
nikikumbuka benja alisemaga wiki tu narudi na mateka wote najikuta natafuta mahali walipoandika myahudi mteule nisome vizuri
 
Jinga kabisa,
Mkishiba urojo sijui huwa mnawaza nini huko nyuma
 
Hamas wamewaaibisha mno mazayuni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…