njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Nimeona ni ujinga kulialia kila siku sasa ni mwendo wa vpn tu nilikuwa napata shida na configuration files namalizia tu kuzi sort hapa na kuna mdau nimekutana naye instagram ni mnigeria ananisaidia
Airtel leo mnaenda kupata tshs 2000 ya mwisho kwenye bando lakini bado nitakuwa hewani sana FOR FREE UNYONGE SASA BASI NYIE PANDISHENI TU HATA IWE 5000 KWA MB 50 ,WAZIRI MWENYEWE AKILALAMIKIWA ANAWASUTA WATU
HA TUNNEL VPN the rest work out mwenyewe kuna process hapa ya hat files configuration filesHuu uzi una faida gani kwetu kama hutuambii chakufanya?
Mkuu umechelewa sana. Hapa nacomment nikiwa ndani ya vpnNimeona ni ujinga kulialia kila siku sasa ni mwendo wa vpn tu nilikuwa napata shida na configuration files namalizia tu kuzi sort hapa na kuna mdau nimekutana naye instagram ni mnigeria ananisaidia
Airtel leo mnaenda kupata tshs 2000 ya mwisho kwenye bando lakini bado nitakuwa hewani sana FOR FREE UNYONGE SASA BASI NYIE PANDISHENI TU HATA IWE 5000 KWA MB 50 ,WAZIRI MWENYEWE AKILALAMIKIWA ANAWASUTA WATU
HA TUNNEL VPN kuhus configuration files kuwa na juhudi binafsi sasa kuhangaikiaTupeane ujanja
Mwamba njoo ofisini huku tuyajenge😂 hawa wahuni wamezidi lazma na sisi tulambe asali kidogo. Njoo unipe tips mzee mwenzanguNimeona ni ujinga kulialia kila siku sasa ni mwendo wa vpn tu nilikuwa napata shida na configuration files namalizia tu kuzi sort hapa na kuna mdau nimekutana naye instagram ni mnigeria ananisaidia
Airtel leo mnaenda kupata tshs 2000 ya mwisho kwenye bando lakini bado nitakuwa hewani sana FOR FREE UNYONGE SASA BASI NYIE PANDISHENI TU HATA IWE 5000 KWA MB 50 ,WAZIRI MWENYEWE AKILALAMIKIWA ANAWASUTA WATU
Ni dm ujanja huoMkuu umechelewa sana. Hapa nacomment nikiwa ndani ya vpn
Sawa naweka sawa configuration files hapa zikikaa sawa naku inbox ndiyo maana nasema nimeweka bando la 2000 leo la mwisho, nimechoka unyonge hawa watu wananipa stress hadi nimeona ka mvi kamoja kwenye ndevu leo kumbe stress za MAFIA LA COSA NOSTRA WA BANDOMwamba njoo ofisini huku tuyajenge😂 hawa wahuni wamezidi lazma na sisi tulambe asali kidogo. Njoo unipe tips mzee mwenzangu
Katika watu wanaotia hasira ni huyu mtu acha tutafute solutions nyingineHakuna namna.....Nape anakomaa na wanaolalamikia bei za bandoView attachment 2310797