MANDEVUMENGI
JF-Expert Member
- May 15, 2018
- 1,345
- 3,570
Wakuu ni vyema mkamwaga huo mchele TUDONOE WOTE
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha dah jibu fupi la waziHakuna namna.....Nape anakomaa na wanaolalamikia bei za bandoView attachment 2310797
Mkuu hayo matusi mapya yanavuka zile 300MB za trial?HA TUNNEL VPN the rest work out mwenyewe kuna process hapa ya hat files configuration files
😂😂UmetishaMwamba njoo ofisini huku tuyajenge😂 hawa wahuni wamezidi lazma na sisi tulambe asali kidogo. Njoo unipe tips mzee mwenzangu
Nimeona ni ujinga kulialia kila siku sasa ni mwendo wa vpn tu nilikuwa napata shida na configuration files namalizia tu kuzi sort hapa na kuna mdau nimekutana naye instagram ni mnigeria ananisaidia
Airtel leo mnaenda kupata tshs 2000 ya mwisho kwenye bando lakini bado nitakuwa hewani sana FOR FREE UNYONGE SASA BASI NYIE PANDISHENI TU HATA IWE 5000 KWA MB 50 ,WAZIRI MWENYEWE AKILALAMIKIWA ANAWASUTA WATU
Wire Turn siku izi iko slow sanaHayo maujanja siku hizi watu kibao wanayo hadi magroup yapo telegram ya bando la bure, ngoja na mimi nikaiupdate WireTurn yangu nianze kulamba asali japo inakauchachu kidogo.
YAh, Ipo slow sana lakini kwa wasap tu inasaidia kuchat ila kuna mjaa wangu wa Ttcl anasema kwake inapiga mpaka YouTube na Insta mimi kwa Tigo inakataa.Wire Turn siku izi iko slow sana
Tunaomba connection..Wenzio mbona tunapata kamserereko tangia kitambo we ndio unagundua leo
Jamaa ana majibu ya dharau sana.Hakuna namna.....Nape anakomaa na wanaolalamikia bei za bandoView attachment 2310797
Nip maujanja mkuuMkuu umechelewa sana. Hapa nacomment nikiwa ndani ya vpn
Kajua kuna maboya wa kuwaingiza king humu Hajui kwamba kuna vichwa vigumu humu so why kapiga U-turn kiaina badala ya kuulizwa method gani inasongeshaWenzio mbona tunapata kamserereko tangia kitambo we ndio unagundua leo
YAh, Ipo slow sana lakini kwa wasap tu inasaidia kuchat ila kuna mjaa wangu wa Ttcl anasema kwake inapiga mpaka YouTube na Insta mimi kwa Tigo inakataa.
Mtandao upi inakubali na vipi settings zake ina maelekezo ya umuhimu yeyoteJaribu THRO DROID VPN