Dormant Account
JF-Expert Member
- Apr 5, 2022
- 11,308
- 32,757
Jaribu TTCLSijui kwa ttcl bt kwa tigo ni nzito balaa mpk utatamani uidelete.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jaribu TTCLSijui kwa ttcl bt kwa tigo ni nzito balaa mpk utatamani uidelete.
Unajiungaje na hiyo vpn?Nimeona ni ujinga kulialia kila siku sasa ni mwendo wa vpn tu nilikuwa napata shida na configuration files namalizia tu kuzi sort hapa na kuna mdau nimekutana naye instagram ni mnigeria ananisaidia
Airtel leo mnaenda kupata tshs 2000 ya mwisho kwenye bando lakini bado nitakuwa hewani sana FOR FREE UNYONGE SASA BASI NYIE PANDISHENI TU HATA IWE 5000 KWA MB 50 ,WAZIRI MWENYEWE AKILALAMIKIWA ANAWASUTA WATU
Step namba 4 nimefika inagomaView attachment 2312052View attachment 2312054
1. Pakua Thor Droidvpn na kuinstall kwenye handset yako
2. INGIA HAPA ujiregister then fanya confirmation kwenye e-mail yako ili uwe active
3.Sasa fungua ile apk uliyoinstall then Nenda setting na kuset ifuatavyo:-
R-UDP 53
L-UDP 0
UDP CONNECTION MODE-1
T-COUNT 2222
R-COUNT 03
4.Ukimaliza Go back na kulogin kwa kujaza user na pass ulizo create then click save
5.Chagua server za Thor Hacker then connect
6.Serereka for free
NB mtandao ni jukumu lako kutafuta unaokimbiza
Na kwangu inatokea hivyoStep namba 4 nimefika inagomaView attachment 2312695
Hutakiwi kuweka bando bali utumie Zero rated.Mbona still inatumia bando langu..!?
Set upande wa UDP...............Ndugu .hapo kwenye kuset unaset wapi ..maana hapa naona kama umejumuisha ..wakati ukiingia Kule kuna sehemu sehemu ya settings kuna options kibao ...tafadhali elekeza hatua kwa hatua
Utacconnect vipi ukiweka data off?Nisipoconnect na data yangu Yani nisipowasha data mbona haisomi
Step namba 4 nimefika inag
Mkuu hiyo uliyoweka ni Droidvpn ya kawaida siyo MOD ya THOR HACKER hata hivyo nayo inaconnect kwa Free server tu.Step namba 4 nimefika inagomaView attachment 2312695
Uwe makini naye, utajikuta anafilisiwakuna mdau nimekutana naye instagram ni mnigeria ananisaidia
Hiyo Trick inafanya na TTCL+TIGO only kama unatumia mitandao mingine lazima igome, speed around 2-2.4mbps sawa na 200-300KBps kwa IDM.Step namba 4 nimefika inagomaView attachment 2312695
[emoji3][emoji3][emoji3]watu wanaingia kichwa kichwa kama mandonga wanaenda kula za uso hapa
Hiyo uliyoweka ni Droidvpn ya kawaida siyo MOD ya THOR HACKER hata hivyo nayo inaconnect kwa Free server tu.