Leo itakuwa mwisho kulipia bando, nimepata suluhisho la bure

Mpaka leo nimetumia 189gb na nina kula mwaka wa nne huu..tatizo lenu mkipewa mnaleta matangazo ya kujisifu.ndio mana watu wameacha kuleta tricks au hole zikipatikana ..wazee wa mtandao wanakula kichwaView attachment 2699487
Wee jamaa nakutamani sana. Nina kazi nyingi za net mpk kichwa kinauma kwa hela ya bando itakayoenda.
Goodluck, hata nikikufuata PM haina maana kwasabb umeamua kula mwenyewe. Km utapendezwa, nitumie inbox. Sasa hivi napata 100mb tu.
15k ipo ukiniwezesha
 

 
YAh, Ipo slow sana lakini kwa wasap tu inasaidia kuchat ila kuna mjaa wangu wa Ttcl anasema kwake inapiga mpaka YouTube na Insta mimi kwa Tigo inakataa.
ivi uyo jamaa ako mbaka leo inafanya kazi kwenye ttcl .kama inafanya kazi nomba nisaidie na mimi iyo maana nina ttcl af nipo nipo tu sina ata vpn
 
Kwahiyo kutumu VPN ni kosa kisheria kwa muda huu !!??
 
Una file la npv tunnel mdau niperuzi voda???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…