Leo jioni nimepanda mwendokasi baada ya kupata breakdown lakini kilichonitokea aisee wanawake hizo nywele muwe mnaosha

Leo jioni nimepanda mwendokasi baada ya kupata breakdown lakini kilichonitokea aisee wanawake hizo nywele muwe mnaosha

Teslarati

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2019
Posts
2,621
Reaction score
10,466
Hapa leo hadi nimeshindwa kwenda bar najiuliza hii choking naitoaje maana nahisi bado ile harufu ipo puani mwangu.

Ilikua hivi, nimepata breakdown mahala nikalazimisha limp mode hadi garage ila gari imebidi kuiacha hapo. Ili kufika ninakokwenda ikabidi nichukue mwendokasi jioni hii, mule ndani palikua pamejaa lkn sikujua nikaingia tu. Mbele yangu alikua amesimama binti mmoja mfupi kiasi kaweka nywele style moja nzuri tu.

Lakini baada ya sekunde kadhaa nikaanza kuhisi hewa kuwa nzito sana kuja kugundua kumbe pua yangu imeangaliana kabisa na na kichwa cha huyo binti aliepo mbele yangu. Aisee nywele zile zilikua zinatoa harufu moja mbaya sana kama upo karibu, na ni harufu kitaalamu tunaweza iita pungent au choking smell.

Staili ya nywele nzuri ila sasa kaa karibu usikie mziki wake. Nimevumilia hadi ikabidi nishuke tu kituo kinachofuata ili nitoke nibadili usafiri.
 
Na wewe inaonesha ni mtoto wa mama sana. Watu wametoka michakatoni na kila mtu na shughuli anayoifanya, wametoka jasho siku nzima ikiwa pamoja na kichwa, sasa mida hiyo ulitaka anukie???
Shika adabu kwanza, usidhan humu kila mtu ni mtoto mwenzio.

Halafu hio jasho inayopanda hadi kwenye nywele hizi wanazosuka ndo inaitwaje?
 
Hapa leo hadi nimeshindwa kwenda bar najiuliza hii choking naitoaje maana nahisi bado ile harufu ipo puani mwangu.

Ilikua hivi, nimepata breakdown mahala nikalazimisha limp mode hadi garage ila gari imebidi kuiacha hapo. Ili kufika ninakokwenda ikabidi nichukue mwendokasi jioni hii, mule ndani palikua pamejaa lkn sikujua nikaingia tu. Mbele yangu alikua amesimama binti mmoja mfupi kiasi kaweka nywele style moja nzuri tu.

Lakini baada ya sekunde kadhaa nikaanza kuhisi hewa kuwa nzito sana kuja kugundua kumbe pua yangu imeangaliana kabisa na na kichwa cha huyo binti aliepo mbele yangu. Aisee nywele zile zilikua zinatoa harufu moja mbaya sana kama upo karibu, na ni harufu kitaalamu tunaweza iita pungent au choking smell.

Staili ya nywele nzuri ila sasa kaa karibu usikie mziki wake. Nimevumilia hadi ikabidi nishuke tu kituo kinachofuata ili nitoke nibadili usafiri.
Tukisema daladala/mwendokasi ni laana wanasema tunakufuru.

Natudia daladala/mwendokasi ni laana.

Ni unyanyasaji, udhalilishaji na ukiukwaji wa haki za binadamu.
 
unyenyekevu ni ngumu sana kupata kutoka kwa watu wasiojiamini wanaoamini ni status ya juu kuwa na gari, umenikumbusha siku moja kati ya siku zangu niliamua tu kupanda mwendokasi kwenda posta na mimi huwa naacha gari yangu nikiamua maeneo ya ubungo plaza ( nadhani kuna watu kibao tu wanapanda mwendokasi na wana magari yao). Ni vyema kutodhania usiyemjua kuwa ni hamnazo
 
Back
Top Bottom