Melancholic
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 3,076
- 5,483
mawardat fanya mpango wa kapicha bac nijifaidie[emoji23][emoji23][emoji23]nimefrahi,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mawardat fanya mpango wa kapicha bac nijifaidie[emoji23][emoji23][emoji23]nimefrahi,
😂😂😂 kudadeqUkute na gari yenyewe bei sawa na Simu mbili.🤣🤣🤣
Nywele zinazoshwa vizuri hazitoi harufu za ajabu. Nywele zinafukizwa na kuwekewa al oud zitaanzaje kunuka. Kuhangaika gani mpk nywele zitoe harufu. Dddaaaahhhh
[emoji23][emoji23][emoji23]Mywele Zinanuka Harufu Ya Dekio[emoji23][emoji23][emoji23]
Wanawake…. ??! Sema wanawake wasio oga na vichwa.
Wengine Mon to Mon tunaoga na mabichwa yetu.
Cc Carleen
shot hea fo laifu beibe,🔥🔥Binafsi ndio maana napenda wadada wenye short hair, hii ni moja ya sababu.
Hizi nywele za kuongeza kweli zinakuwa na harufu kali sana.
Wadada wengi kazi imekuwa kupigapiga vichwa tu, vinawasha tu mda wote kisa joto limezidi na hawana namna ya kuosha.shot hea fo laifu beibe,🔥🔥
Hv wanawake mna akili gani?? Mkiambiwa tu ukweli mnaanza kusema mnadhalilishwa,,, mbona sie wanaume kila sku mnatuanzishia nyuzi kwamba hatufui boxer na hatujaeahi kusema mnatudhalilisha??Hata mimi huwa nashangaa hao wadada wachafu wanakutana nao wapi. Hizi thread za kutudhalilisha zimekuwa nyingi sana.
Daaah baadhi ya wanawake wana shida aisee...kwani lazima!!?Mawigi na marasta hayo, kusema kweli huwa yananuka.
[emoji3][emoji3][emoji3] dah [emoji3][emoji3]Swali
Haikuwezekana kusema umepanda mwendokasi mpaka useme kua una gari imepata breakdown?
Khaaa!!!! Kuna dada mmoja ofisini alikuwa anapigapiga kichwa mpk wigi analivua 🤣🤣🤣🤣 akabaki na twende kilioni yake. Almradi vitukoWadada wengi kazi imekuwa kupigapiga vichwa tu, vinawasha tu mda wote kisa joto limezidi na hawana namna ya kuosha.
Daaah....sijawahi hata kuvaa hilo wigi.Wewe huna hii tabia
Usafi sawa nakubali lakini sio wa nywele za bandia..sema ukweli ukisuka rasta utaziosha?kama huoshi kwanini zisinuke?Wanawake wengi ni wasafi na Sifa ya wanawake ni usafi,
Kuandika Uzi special wa kumsema mwanamke sio sawa,
Nahisi Kuna uongo ndani yake.
Otherwise tusubiri boyfriend wake aje kumuanzishia Uzi humu.