Leo jioni nimepanda mwendokasi baada ya kupata breakdown lakini kilichonitokea aisee wanawake hizo nywele muwe mnaosha

Leo jioni nimepanda mwendokasi baada ya kupata breakdown lakini kilichonitokea aisee wanawake hizo nywele muwe mnaosha

Wanawake…. ??! Sema wanawake wasio oga na vichwa.

Wengine Mon to Mon tunaoga na mabichwa yetu.

Cc Carleen
 
Hata mimi huwa nashangaa hao wadada wachafu wanakutana nao wapi. Hizi thread za kutudhalilisha zimekuwa nyingi sana.
Hv wanawake mna akili gani?? Mkiambiwa tu ukweli mnaanza kusema mnadhalilishwa,,, mbona sie wanaume kila sku mnatuanzishia nyuzi kwamba hatufui boxer na hatujaeahi kusema mnatudhalilisha??

Wanawake mnajidhalilisha wenyewe kwa kuvaa hzo nguo zenu za uchi na kutembea nazo mtaan wala hakuna mwanaume mwenye time ya kuwadhalilisha!!
 
Africa ukitaka kuigiza jini au shetani unaambiwa ukanunue dozen ya rasta uyafunge funge na kuyapaka mauji yani wanaoweka rasta wanatia kinyaaa
 
Wadada wengi kazi imekuwa kupigapiga vichwa tu, vinawasha tu mda wote kisa joto limezidi na hawana namna ya kuosha.
Khaaa!!!! Kuna dada mmoja ofisini alikuwa anapigapiga kichwa mpk wigi analivua 🤣🤣🤣🤣 akabaki na twende kilioni yake. Almradi vituko
 
Achana na ya walimwengu,,,,Tengeneza gari lako ili pua yako isipate brekidauni tena kama gari yako sawa dogoo
 
Wanawake wengi ni wasafi na Sifa ya wanawake ni usafi,
Kuandika Uzi special wa kumsema mwanamke sio sawa,
Nahisi Kuna uongo ndani yake.
Otherwise tusubiri boyfriend wake aje kumuanzishia Uzi humu.
Usafi sawa nakubali lakini sio wa nywele za bandia..sema ukweli ukisuka rasta utaziosha?kama huoshi kwanini zisinuke?
 
Back
Top Bottom