Leo Jumatano ya Majivu unasali ukiwa Kanisa gani?

Leo Jumatano ya Majivu unasali ukiwa Kanisa gani?

Wapi huko
Mbona sijaona
Uzi ulifutwa ila nilikutafuta ujitetee! Hata kipande cha sms yako ya kusema una njaa (sijui ya Chakula kipi kati ya vyakula viwili yaani ugali au kugidwa) iliwasiliswa na mdau mwenzangu mpinga watu wa upinde
 
Nitasali kanisa la RC lolote litakalokuwa jirani na nitakapokuwepo muda huo
 
Uzi ulifutwa ila nilikutafuta ujitetee! Hata kipande cha sms yako ya kusema una njaa (sijui ya Chakula kipi kati ya vyakula viwili yaani ugali au kugidwa) iliwasiliswa na mdau mwenzangu mpinga watu wa upinde
Usiharibu uzi mkuu, hayo yashapita tugange yajayo.
 
Ishara ya Majivu ni kwamba Binadamu wote ni Majivu na tutarudi majivuni.
Hili andiko ungelipeleka usharikani huko kama hutaki kuulizwa maswali.

Nami nauliza majivu ni ishara ya nini? Ibada kama hizo mbinguni zilifanyika? Maana unakutana na vitoto mtaani vimechafuka nyuso balaa
View attachment 2525765
 
Hili andiko ungelipeleka usharikani huko kama hutaki kuulizwa maswali.

Nami nauliza majivu ni ishara ya nini? Ibada kama hizo mbinguni zilifanyika? Maana unakutana na vitoto mtaani vimechafuka nyuso balaa
View attachment 2525765
Amekullpa jibu sahihi, katoliki waachie mambo yao kama unataka kuyajua ingia mtandaoni siku hizi kila kitu kipo wazi labda kama shemejio mme wa dadako hajakuwekea bundle
 
Amekullpa jibu sahihi, katoliki waachie mambo yao kama unataka kuyajua ingia mtandaoni siku hizi kila kitu kipo wazi labda kama shemejio mme wa dadako hajakuwekea bundle
Kwani hapa sio mtandaoni mbona mnakuwa wavivu ninyi warumi wa kwa ali maua?
 
Kwa maana ya kujielimisha sio kuleta umbea wa tandika huku
We katekista bana leta majibu ya kilicho ulizwa kama hujui nenda kakoroge majivu ya kuwapaka kondoo hapo baadae
 
We katekista bana leta majibu ya kilicho ulizwa kama hujui nenda kakoroge majivu ya kuwapaka kondoo hapo baadae
Kama huwapendi wakatatoliki na ukatoliki bora ukajinyonge kwani hakuna namna, tuko zaidi bil. 2 duniani wewe na Mwandosya wako hata laki hamfiki
 
Back
Top Bottom