Manjagata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 13,942
- 15,371
Unajua tafsiri ya majivu kwa nini tunapaka majivu? Yako kwenye Biblia ndiyo!Majivu ya nini tena?
Ni mambo ya kibiblia au mapokeo ya kidini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajua tafsiri ya majivu kwa nini tunapaka majivu? Yako kwenye Biblia ndiyo!Majivu ya nini tena?
Ni mambo ya kibiblia au mapokeo ya kidini?
Sasa ibada za kupakana majivu mmezitoa wapi nyie warumi wa vitusa?Wee kafiri mbinguni umewahi kufika?
Lakini Yesu alikuja kuokoa wenye dhambi! Jana ulituhumiwa kuwa mwezao cocastic na Culture Me (yupo kifungoni) ingawa Nuzulati alijitahidi mama wa watu kujaribu kumwonyesha njia sahihi.Kristo
Leo ni Jumatano ya majivu ambapo kwaresima inaanza rasmi kwa mwaka 2023 mimi nitaenda St Peter Oysterbay kusali. Wewe utakuwa Kanisa gani?
Wapi hukoLakini Yesu alikuja kuokoa wenye dhambi! Jana ulituhumiwa kuwa mwezao cocastic na Culture Me (yupo kifungoni) ingawa Nuzulati alijitahidi mama wa watu kujaribu kumwonyesha njia sahihi.
Uzi ulifutwa ila nilikutafuta ujitetee! Hata kipande cha sms yako ya kusema una njaa (sijui ya Chakula kipi kati ya vyakula viwili yaani ugali au kugidwa) iliwasiliswa na mdau mwenzangu mpinga watu wa upindeWapi huko
Mbona sijaona
Usiharibu uzi mkuu, hayo yashapita tugange yajayo.Uzi ulifutwa ila nilikutafuta ujitetee! Hata kipande cha sms yako ya kusema una njaa (sijui ya Chakula kipi kati ya vyakula viwili yaani ugali au kugidwa) iliwasiliswa na mdau mwenzangu mpinga watu wa upinde
Kasome maandikoSasa ibada za kupakana majivu mmezitoa wapi nyie warumi wa vitusa?
Yalete hapa niyasomeKasome maandiko
Hili andiko ungelipeleka usharikani huko kama hutaki kuulizwa maswali.
Nami nauliza majivu ni ishara ya nini? Ibada kama hizo mbinguni zilifanyika? Maana unakutana na vitoto mtaani vimechafuka nyuso balaa
View attachment 2525765
Ndio mapadre wanvyo wadanganya? Ulitokana na majivu?Ishara ya Majivu ni kwamba Binadamu wote ni Majivu na tutarudi majivuni.
Amekullpa jibu sahihi, katoliki waachie mambo yao kama unataka kuyajua ingia mtandaoni siku hizi kila kitu kipo wazi labda kama shemejio mme wa dadako hajakuwekea bundleHili andiko ungelipeleka usharikani huko kama hutaki kuulizwa maswali.
Nami nauliza majivu ni ishara ya nini? Ibada kama hizo mbinguni zilifanyika? Maana unakutana na vitoto mtaani vimechafuka nyuso balaa
View attachment 2525765
Wewe unafikiri ulitoka kwenye dhahabu?Ndio mapadre wanvyo wadanganya? Ulitokana na majivu?
Kwa hiyo likiwekwa la mashoga litakuwa linakuhusu pia?Kwanini hili suala limewekwa hapa JF kama halituhusu?
Kwani hapa sio mtandaoni mbona mnakuwa wavivu ninyi warumi wa kwa ali maua?Amekullpa jibu sahihi, katoliki waachie mambo yao kama unataka kuyajua ingia mtandaoni siku hizi kila kitu kipo wazi labda kama shemejio mme wa dadako hajakuwekea bundle
Kwa maana ya kujielimisha sio kuleta umbea wa tandika hukuKwani hapa sio mtandaoni mbona mnakuwa wavivu ninyi warumi wa kwa ali maua?
We katekista bana leta majibu ya kilicho ulizwa kama hujui nenda kakoroge majivu ya kuwapaka kondoo hapo baadaeKwa maana ya kujielimisha sio kuleta umbea wa tandika huku
Kama huwapendi wakatatoliki na ukatoliki bora ukajinyonge kwani hakuna namna, tuko zaidi bil. 2 duniani wewe na Mwandosya wako hata laki hamfikiWe katekista bana leta majibu ya kilicho ulizwa kama hujui nenda kakoroge majivu ya kuwapaka kondoo hapo baadae