Mr Q
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 18,046
- 38,598
Idadi haigeuzi wala kuleta majibu ya ulicho ulizwaKama huwapendi wakatatoliki na ukatoliki bora ukajinyonge kwani hakuna namna, tuko zaidi bil. 2 duniani wewe na Mwandosya wako hata laki hamfiki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Idadi haigeuzi wala kuleta majibu ya ulicho ulizwaKama huwapendi wakatatoliki na ukatoliki bora ukajinyonge kwani hakuna namna, tuko zaidi bil. 2 duniani wewe na Mwandosya wako hata laki hamfiki
Inataka moyo kujibu swali la kijingaIdadi haigeuzi wala kuleta majibu ya ulicho ulizwa
Tatizo makatekista hamna uwezo wa kujibu maswali. Mmedumazwa na aina ya ibada zenu zisizo na mjadala wala kuhoji.Inataka moyo kujibu swali la kijinga
Majivu ya nini tena?
Ni mambo ya kibiblia au mapokeo ya kidini?
Ibada njema kwakoSt. TEREZA OF AVILA KIBWEGERE
Sisi wote ni mavumbi na mavumbini tutarudNdio mapadre wanvyo wadanganya? Ulitokana na majivu?
Watoto wa mwamposaSasa ibada za kupakana majivu mmezitoa wapi nyie warumi wa vitusa?
Kwani nyie mnaibada au huwa mnaimba na kutoa ushuhuda 🤣🤣🤣🤣Tatizo makatekista hamna uwezo wa kujibu maswali. Mmedumazwa na aina ya ibada zenu zisizo na mjadala wala kuhoji.
Jibu maswali yaliyo ulizwa mwamposya na matapeli wengine hawana nafasi hapaKw
Kwani nyie mnaibada au huwa mnaimba na kutoa ushuhuda 🤣🤣🤣🤣
Mbona umejibiwa rejea #45 @JabelJibu maswali yaliyo ulizwa mwamposya na matapeli wengine hawana nafasi hapa
Mkuu Mwachiluwi salam kwako. Mkuu Samahani, hivi hii Ibada ya Majivu ina utofauti wowote na ile ya kukanyaga mafuta? Je Ibada ya majivu ina Msingi wowote wa kimaandiko?Kristo
Leo ni Jumatano ya majivu ambapo kwaresima inaanza rasmi kwa mwaka 2023 mimi nitaenda St Peter Oysterbay kusali. Wewe utakuwa Kanisa gani?
Na wwe ntazana ntazana pitaaaa hukuuu!!!!Wee kafiri mbinguni umewahi kufika?
Mimi Nisha sali misa ya asubuhi YOHANE MARIA MUZEEYKristo
Leo ni Jumatano ya majivu ambapo kwaresima inaanza rasmi kwa mwaka 2023 mimi nitaenda St Peter Oysterbay kusali. Wewe utakuwa Kanisa gani?
Mkuu Mwachiluwi salam kwako. Mkuu Samahani, hivi hii Ibada ya Majivu ina utofauti wowote na ile ya kukanyaga mafuta? Je Ibada ya majivu ina Msingi wowote wa kimaandiko?
Ahsante
Mimi Nisha sali misa ya asubuhi YOHANE MARIA MUZEEY
Bikira Maria Consolata Makabe.
Namshukuru Mungu nilidamka ibada ya asubuhi na mapema.