Leo Jumatano ya Majivu unasali ukiwa Kanisa gani?

Leo Jumatano ya Majivu unasali ukiwa Kanisa gani?

Inatofauti majivu tuna paka ishara ya majuto daudi alipo jitambua kuwa amekosa alianguka kwenye jivu kuomba msamaha ishara ya kuwa yeye si kitu ni majivu

Kukanyaga mafuta watu wanakanyaga ili wapone ili wanunue magari ili wavuke na vyao kuna sababu nyingi na zani ww unaona

Mkuu Mwachiluwi nashukuru kwa majibu. Mkuu kama utakumbuka kipindi cha Agano la kale ishara au matendo kadhaa yalifanywa na watu binafsi kama ishara ya majuto au kutubu mfano kujipaka majivu (sio kupakwa majivu), kuvaa magunia (sio kuvikwa magunia) au kufunga kula, kunywa au vyote kwa pamoja..

Mkuu Mwachiluwi natambua katika kipindi hiki cha Agano Jipya, wagonjwa wanaweza kupakwa Mafuta kama Ishara kumwalika Roho mtakatifu kuingilia uponyaji wake INGAWA watu wanaponywa kwa imani sio kupakwa mafuta. Sasa Mkuu Mwachiluwi , naomba sasa basi kujua msingi wa kimandiko wa ibada ya Majivu ni nini? Je kupaka majivu ni ishara ya kimaandiko ya kumuunganisha Mtu na nini?

Ahsante
 
Ninachoshukuru kwa wote wanaojiita Wakristu na kwenye makanisa Yao hawana mwongozo wa ibada hizi Bali ni mchungaji na mama mchungaji wanaongea maneno Yao kwa lisauti la kutoka na kwaya za mapambio, siku kama ya Leo , Jumatano ya majivu, ijumaa kuu lazima wanakuja kanisa mama Katoliki kuja kushiriki ibada hizi muhimu ila huwa wanapewa tahadhari tu ya kutoshiriki Ekaristi Takatifu ambayo ni exclusive right ya wakatoliki waliojiandaa tuu
 
Mkuu Mwachiluwi nashukuru kwa majibu. Mkuu kama utakumbuka kipindi cha Agano la kale ishara au matendo kadhaa yalifanywa na watu binafsi kama ishara ya majuto au kutubu mfano kujipaka majivu (sio kupakwa majivu), kuvaa magunia (sio kuvikwa magunia) au kufunga kula, kunywa au vyote kwa pamoja..

Mkuu Mwachiluwi natambua katika kipindi hiki cha Agano Jipya, wagonjwa wanaweza kupakwa Mafuta kama Ishara kumwalika Roho mtakatifu kuingilia uponyaji wake INGAWA watu wanaponywa kwa imani sio kupakwa mafuta. Sasa Mkuu Mwachiluwi , naomba sasa basi kujua msingi wa kimandiko wa ibada ya Majivu ni nini? Je kupaka majivu ni ishara ya kimaandiko ya kumuunganisha Mtu na nini?

Ahsante

Majuto ya makosa yake ndio maana kuna ibada ya majivu ni moja kwamba Mungu anatambua mwanangu kakosa anatubu makosa yake
 
Mkuu Mwachiluwi sawa ILA kwanini Mtu asijipake majivu mwenyewe kama ishara ya kunyekea?
Ahsante

Kanisa liliweka utaratibu kuwa tuungane kwa pamoja kufanya jambo ilo lakini aina maana kuwa watu wengine haawatubu makosa yao mpaka kwaresima no kila mtu kwa nafasi yake anatubu lakini hii yya leo ni kanisa kwa pamoja tunaungana kuomba toba
 
IMG_0610.jpg

Karibuni ibadani
 
Back
Top Bottom