Aibu kubwa sana amepata
Alishaenda 5 Star Hotel yake, Buguruni?Leo yule kibaraka wa CCM alikuwa na mkutano wa hadhara hapa dar, je alikuwa na jipya lolote? CCM walikuwa wanamjazia watu ili ionekane bado yuko hai kisiasa na chama chake. Kwa wale walihudhuria huo mkutano hebu watupe nini aliongea, na mahudhurio yalikuwaje?
In Sabaya's voiceKwa hii technique ya CCM ya divide and rule wamefanikiwa....watatawala Kwa miaka mingi ijayo...ni tz pekee ambapo upinzani unatuhumiana wao Kwa wao...
Eti nani kazuia wanaccm wasiende?π πKwani wapinzani ndio wamezuia watu kuhudhuria kwenye mkutano wa hadhara wa CUF?
In Makondaz voiceWapinzani wote ni vibaraka wa CCM
Leo sijawasikia kabisa. Juzi tu hapa Mkutano wa Chadema ulikuwa kama wao. Leo kimyaaa!Ndio maana wapiga propaganda wa CCM wamekuwa wapole baada ya kuona wamempotezea ramani? Zito Kabwe naye inabidi akae vizuri na Wapemba, maana akiwaudhi kitamkuta kinachomkuata Lipumba sasa. Na kama Lipumba kakosa watu hapa Dar, basi asiyegemee kupata watu huko mikoani.
Alishaenda 5 Star Hotel yake, Buguruni?
Lile godoro lake lingalipo pamoja briefcase yake yenye mswaki na taulo?
π π π πWanaona aibu kishenzi, maana CCM ndio walimuingiza Kingi ili aiharibu CUF, na kweli akaingizwa mjini, leo hii chama kimemfia mkononi.
Mchumi ambaya hata kubadilisha shati hawezi ni mchumi gani? Laana ileHaaa π, tulikuwa tunaambiwa jamaa ni mchumi mashuhuri sana duniani, sijui alikuwa mshauri wa Museveni huko Uganda! Mchumi akawekwa mfukoni na Magufuli matokeo yake kaiua CUF. Kweli njaa kitu kibaya sana.
Mchumi ambaya hata kubadilisha shati hawezi ni mchumi gani? Laana ile
π π πWachumi wa bongo wengi wamejaa nadharia, huyo Lipumba ndio walioteuliwa kwenye tume ya Mkapa ya kubinafsisha mashirika ya umma. Kuna siku mzee Mkapa aliongea kwa jazba akimwambia Lipumba alikuwa kwenye kamati ya ubinafsishaji wa mashirika ya umma, inakuwaje amshambulie. Toka siku hiyo Lipumba alikuwa mpole kuhusu kumsema Mkapa.
Leteni updates shida nini?Wapinzani wote ni vibaraka wa CCM