Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aibu kubwa sana amepata
Yaani vyama vya upinzani mnvyooneana wivu, utadhani wake wenza wa CCM!Aibu kubwa sana amepata
AKILI NDOGO WEWEWapinzani wote ni vibaraka wa CCM
Leo yule kibaraka wa CCM alikuwa na mkutano wa hadhara hapa dar, je alikuwa na jipya lolote? CCM walikuwa wanamjazia watu ili ionekane bado yuko hai kisiasa na chama chake. Kwa wale walihudhuria huo mkutano hebu watupe nini aliongea, na mahudhurio yalikuwaje?
Wapinzani wote ni vibaraka wa CCM
Kwa hii technique ya CCM ya divide and rule wamefanikiwa....watatawala Kwa miaka mingi ijayo...ni tz pekee ambapo upinzani unatuhumiana wao Kwa wao...
Haaa 😀, tulikuwa tunaambiwa jamaa ni mchumi mashuhuri sana duniani, sijui alikuwa mshauri wa Museveni huko Uganda! Mchumi akawekwa mfukoni na Magufuli matokeo yake kaiua CUF. Kweli njaa kitu kibaya sana.
Nani ambae siyo kibaraka wa ccm?
Yaani vyama vya upinzani mnvyooneana wivu, utadhani wake wenza wa CCM!
Sidhani kama Mwenyekiti wako Mbowe anaamini hivyo. Ebu muulize alirambishwa asali na nani? Ahahahahah!!!!CCM sio chama cha siasa bali ni kikundi cha dola kilichojivika koti la chama cha siasa. Ongelea vyama vya siasa sio hao Mungiki.
Sijakuzuia kugombana na Lipumba. Endeleeni kugombana. Sawa? Kama wake wenza! Ahahahahah!Unawaza kuolewa tu. Lipumba alivyopambana na Maalim kuiua CUF kwa kusidiwa na Magufuli mlikaa kimya, Sasa hivi ndio mnalopoka.
Upinzani makini hauwezi kukaa meza moja na chama cha akina DOVUTWA, wewe ulitakaje?Kwa hii technique ya CCM ya divide and rule wamefanikiwa....watatawala Kwa miaka mingi ijayo...ni tz pekee ambapo upinzani unatuhumiana wao Kwa wao...
Vyama vya siasa vyote bongo ni mkono wa dola huku nje tunachezeshwa changamsha bwege tu.......watu na makundi yao na maslahi yaoCCM sio chama cha siasa bali ni kikundi cha dola kilichojivika koti la chama cha siasa. Ongelea vyama vya siasa sio hao Mungiki.
Kupanga ni kuchagua.......mjini hapa akili kichwaniNi kweli, ila mbona hiyo dola inachagua vyama vya kupiga mabomu kama vyote ni vyake?
Yule aliyevunjiwa Billcanas na Magufuli pamoja na kufungiwa akaunti zake zote.Nani ambae siyo kibaraka wa ccm?