kwetumasoko
JF-Expert Member
- Aug 24, 2016
- 866
- 510
PoleAliniambia kuwa sijawahi kumkosea hata kidogona anajua kuwa nampenda sana kuliko chochote ila ameamua kuwa na mwanamke anaempenda zaidi kuliko mimi....It was very painful to me but I had to accept the fact for the sake of his happiness.
Haha.! Wanawake bhana.Kuna mmoja nilimpata uume wake ulikua mlaini kama sufi ukiingia ukeni ata sielewi kama kumeingia kitu. Alafu alikua na mtindo akishaingiza yote hadi ndani anatulia tu utasikia anagosha [HASHTAG]#vidole[/HASHTAG] vya mkononi au anatingisha kichwa au anabana mdomo na machoyake ujue apo anapizi....na akishapizi analala yaani mazima ufanya kumstua. Nikasema Akaaaa nikae pembeni kwanza ub...ooo soft kama hauna mishipa yaani rainiiiiiiiiii
Machalari bila nyama ni takataka sio chakulaManzi alinipikia ndizi bila nyama,japo zilikuwa tamu lakini ni kashfa kubwa kumpikia mwanaume wa kabila langu ndizi bila nyama,eti ohh hii inaitwa ndizi mboga mboga,nkamwambia ningekuwa nashida na mbogamboga ningekwambia upike ugali.akala kadi yake nyekundu kiroho safi.
Bila shaka hata noti xilikuwa zinasumbua, utaanzaje kumwacha mwanaume kisa kiba100?Alikua hanifikishi,nikamweleza ukweli tuakaachana,kuliko kumcheat ni bora tuachane kwa amani. Hadi Leo ni rafiki yangu sana, japo najua siri yake ana kibamia kama cha mtoto.
ππππππππππ hii inΓ chomaHela zilipoisha alianza kunichit na mwisho akaenda kabisa kwa jamaa mwingine na sasa ameshazaa nae mtoto mmoja na jamaa limempa maisha kinoma, fala sana yule mwanamke hajui tu moyo wangu unavoniuma pumbaff
Sent using Jamii Forums mobile app
Sababu yako kama yangu hata mimi niliwaza niendelee nae halafu iwe niniHalafu iwe nini
Andika kiswahili nduguMimi msela alinichukulia alafu ni chalii wangu wa tokea utotoni asee.
Kumuuliza chalii siunajua huyu manzi ni wangu eroo? Akajibu
"Manzi kanikubali mwenyewe chalii"
Ikabidi nijikate tu alolo nikajiona fara ila manzi akaanzanga leta shobo baada ya muda nikaona huyu hajui kama mimi mkora!? nikamkata shavu kwa kumgonga rafiki yake wa karibu sana alipojua mpaka leo sijawahi kusikia pang'ang'a yoyote.
Mkuu sababu zingine zote uliziona baada ya sababu namba 5.1. Wivu
2. Ub abaifu
3. Mchoyo
4. Nilijisikia tu
5. Nilimchoka
6. Dume Suruali
Mdogo wangu,Mkuu sababu zingine zote uliziona baada ya sababu namba 5.
Ukishamchoka mtu unaanza kuziona kasoro zake nyingi ambazo alikuwa nazo wakati hujamchoka na haukuziona au hazikuwa tatizo kwako.
Ukitaka kuuwa mbwa au paka unamtafutia majina mabaya makusudi kuhalalisha unachotka kumtendea.
Mfano: Mbwa koko, mbwa mchafu, mbwa kichaa, paka pori, paka shume, n.k.
"Give a dog a bad name and hang it" - English Proverb. Meaning: One can always find a reason for what one wants to do.
"Qui veut noyer son chien l'accuse de la rage." - French Proverb. Meaning:He who wants to drown his dog, accuses it of having rabies(kichaa cha mbwa).
CC: Carleen njoo nifundishe kimalkia na kifaransa.
Miujiza tena?Mdogo wangu,
Unamaanisha kifaransa hichi hichi??? Ama cha kilugha???
Enwei,uje na notebook na kalamu yako na naamini utakwenda kupokea muujiza wako..!! π π
Mkuu sababu zingine zote uliziona baada ya sababu namba 5.
Ukishamchoka mtu unaanza kuziona kasoro zake nyingi ambazo alikuwa nazo wakati hujamchoka na haukuziona au hazikuwa tatizo kwako.
Ukitaka kuuwa mbwa au paka unamtafutia majina mabaya makusudi kuhalalisha unachotka kumtendea.
Mfano: Mbwa koko, mbwa mchafu, mbwa kichaa, paka pori, paka shume, n.k.
"Give a dog a bad name and hang it" - English Proverb. Meaning: One can always find a reason for what one wants to do.
"Qui veut noyer son chien l'accuse de la rage." - French Proverb. Meaning:He who wants to drown his dog, accuses it of having rabies(kichaa cha mbwa).
CC: Carleen njoo nifundishe kimalkia na kifaransa.
Basi jamaa alikuwa hafai na alistahili kilichotokea kati yenu.Nilichoka tabia zake kuanzia number 1, hivyo nilitokea No1 nikafika 5.
Nipo kwenye daladala, nimecheka kifala kweli hiyo lughaAndika kiswahili ndugu