Leo kila mtu ataje sababu iliyomfanya akaachana na mpenzi wake wa zamani

Leo kila mtu ataje sababu iliyomfanya akaachana na mpenzi wake wa zamani

Alikuwa anapenda sana makuu kiasi cha kunifanya niishi bila amani.Alikuwa anajua mimi nina hali gani lakini vitu alivyokuwa akitaka nimfanyie vilikuwa ni tishio kwa maisha yangu.Automatically nilijikuta natafuta amani nje ya Moghadishu...
Mmh KAma mimi
mogadishu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Wa kwanza ilikuwa kila nikimwambia aje gheto anakuja na mdogo wake.

Wa pili kila mahali mkienda anataka muwe bene bene malovee mpaka hadhara ijue sie ni Ntu na Ntuye

Wa tatu alikuwa anaforce ndoa wakati nipo 1st year sijui hata maisha yatakuwaje baada ya shule

Wa nne na wa tano case zao zilikuwa sawa..
Wao kila weekend wanataka outing sasa ole wako uvunge ni ugomvi
 
pengine na wewe una bwawa la kuvulia samaki na yeye anakufichia siri

Ha ha ha kuna principle moja ya bwana Newton anasema "To every action there is equal and opposite reaction"
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
 
Duuh, mambo yalikuwa mazito aisee

Alikuwa anapenda sana makuu kiasi cha kunifanya niishi bila amani.Alikuwa anajua mimi nina hali gani lakini vitu alivyokuwa akitaka nimfanyie vilikuwa ni tishio kwa maisha yangu.Automatically nilijikuta natafuta amani nje ya Moghadishu...
 
Mie sikuachwa bali niliacha maana mwenzangu alizidi uchafu. Akija kunitembelea geto langu analikuta safi na linanukia harufu nzuri nzuri tu ya kumfanya mtu mchafu ajisikie vibaya. Yeye akija wala hashangai, anapangua vitabu vyote mezani na tukila utashangaa mchuzi atauacha unakaukia mezani na sakafuni. Wakati mwingine akija na zege (chips mayai) na kuku wake wa kukaanga, utashangaa atakula na kuacha pale mezani kwa wikendi yote yuko pale nami. Nilikuja kushangaa siku moja baada ya yeye kuondoka, nilifanya usafi wa nguvu nikakuta mifupa ya kuku chini ya kochi na handkerchief ya mafua ambayo ni yake pia. Ukimuona kwa macho ni kweli anavutia kinoma, wigi za kila aina anazo, na yuko smart katika kuji-keep uzuri ila uchafu tu ndiyo shida yake. Yaani yeye anajali kuonekana msafi tu na sijawahi kumuona anafua nguo hata siku moja. Yaani mpaka vitambaa vya kupangusia vumbi nilikuwa nafua mimi, yeye yuko bize kuchafua nyumba yangu bila haibu. Katika suala na kuweka papuchi clean huko ndio balaa, maana alikuwa na harufu ya fujo haswa baada ya tendo la ndoa. Samahani kama kuna anayekwazika na hili, ila nilishindwa ikabidi niongee na mdada mmoja ajifanye kuwa ndiye girl friend wangu mpya....yule mdada mchafu lipokuja nyumnai akakutana na mdada mpya wakakorofishana na akatimuliwa kisailensa mpaka leo anabaki kunitukana wakati mwenzie nina furaha ya kubaki lonely na usafi wangu.
Nimecheka sana. Hivi kwa nn hii mbinu mnaipenda? Y usimwambie tu mm sitaki mazoea na wewe[emoji12]
 
Wakwnza usaliti, anakua geto chuo na jamaake kila nikipiga simu wanasikiliza wote still likizo anadai bado ananipenda but all in all tukaachana baada ya kucomferm huo ujinga, wapili hajali chochote namimi nikajifanya sijali mambo yakaenda, watatu akajifanya mzuri mbwa haruki mkizinguana ukamdown uzalendo ukanishinda tupa kule.
N:B Wasichana wengi uzuri wa ujana huwa unawasumbua sana by 27yrs wakijastuka age inasonga ndo wanaanza kuregret mashauzi yao ya nyuma.
 
Kaniambia nasafiri sana kikazi...hawezi kuwa na mke wa dizain hiyo...kachelewa sana kuoa so anatamani kuwa na mke anayetulia nyumbani sio kila siku mishe....nikakaa pembeni
 
Mimi msela alinichukulia alafu ni chalii wangu wa tokea utotoni asee.

Kumuuliza chalii siunajua huyu manzi ni wangu eroo? Akajibu

"Manzi kanikubali mwenyewe chalii"

Ikabidi nijikate tu alolo nikajiona fara ila manzi akaanzanga leta shobo baada ya muda nikaona huyu hajui kama mimi mkora!? nikamkata shavu kwa kumgonga rafiki yake wa karibu sana alipojua mpaka leo sijawahi kusikia pang'ang'a yoyote.
Pole bablai,ndo ukubwa huo.
 
Back
Top Bottom