Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmh KAma mimiAlikuwa anapenda sana makuu kiasi cha kunifanya niishi bila amani.Alikuwa anajua mimi nina hali gani lakini vitu alivyokuwa akitaka nimfanyie vilikuwa ni tishio kwa maisha yangu.Automatically nilijikuta natafuta amani nje ya Moghadishu...
Niligundua kua hawezi badilika... Ni tabia yake. Yaani tukiwa wote akipokea simu tu ni uongo tupu. Akawa ananikera sanaHahahaa..... Dah. Ndio mzuri huyo umemjua. Sio wale unawaamini halafu kumbe hamna kitu
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]pengine na wewe una bwawa la kuvulia samaki na yeye anakufichia siri
Ha ha ha kuna principle moja ya bwana Newton anasema "To every action there is equal and opposite reaction"
Alikuwa anapenda sana makuu kiasi cha kunifanya niishi bila amani.Alikuwa anajua mimi nina hali gani lakini vitu alivyokuwa akitaka nimfanyie vilikuwa ni tishio kwa maisha yangu.Automatically nilijikuta natafuta amani nje ya Moghadishu...
Nimecheka sana. Hivi kwa nn hii mbinu mnaipenda? Y usimwambie tu mm sitaki mazoea na wewe[emoji12]Mie sikuachwa bali niliacha maana mwenzangu alizidi uchafu. Akija kunitembelea geto langu analikuta safi na linanukia harufu nzuri nzuri tu ya kumfanya mtu mchafu ajisikie vibaya. Yeye akija wala hashangai, anapangua vitabu vyote mezani na tukila utashangaa mchuzi atauacha unakaukia mezani na sakafuni. Wakati mwingine akija na zege (chips mayai) na kuku wake wa kukaanga, utashangaa atakula na kuacha pale mezani kwa wikendi yote yuko pale nami. Nilikuja kushangaa siku moja baada ya yeye kuondoka, nilifanya usafi wa nguvu nikakuta mifupa ya kuku chini ya kochi na handkerchief ya mafua ambayo ni yake pia. Ukimuona kwa macho ni kweli anavutia kinoma, wigi za kila aina anazo, na yuko smart katika kuji-keep uzuri ila uchafu tu ndiyo shida yake. Yaani yeye anajali kuonekana msafi tu na sijawahi kumuona anafua nguo hata siku moja. Yaani mpaka vitambaa vya kupangusia vumbi nilikuwa nafua mimi, yeye yuko bize kuchafua nyumba yangu bila haibu. Katika suala na kuweka papuchi clean huko ndio balaa, maana alikuwa na harufu ya fujo haswa baada ya tendo la ndoa. Samahani kama kuna anayekwazika na hili, ila nilishindwa ikabidi niongee na mdada mmoja ajifanye kuwa ndiye girl friend wangu mpya....yule mdada mchafu lipokuja nyumnai akakutana na mdada mpya wakakorofishana na akatimuliwa kisailensa mpaka leo anabaki kunitukana wakati mwenzie nina furaha ya kubaki lonely na usafi wangu.
Na likijaaa vumbi linakuwa km nanasiTuliachana kisa wigi.. mm mwanafunzi afu anadai wigi..
Vibamia dili mkuu ama huna hbrHa haaaaaa. Ukisikia paaaaaaaa!!# hakuna ubishi una kibamia.
Labda alikuwa dalali...au kishoka..maana Hawa jamaa daNiligundua kua hawezi badilika... Ni tabia yake. Yaani tukiwa wote akipokea simu tu ni uongo tupu. Akawa ananikera sana
Aaah wapi, ukikohoa tu kinachomoka. Tunachoshana tu kila unakitafuta.Vibamia dili mkuu ama huna hbr
Pole bablai,ndo ukubwa huo.Mimi msela alinichukulia alafu ni chalii wangu wa tokea utotoni asee.
Kumuuliza chalii siunajua huyu manzi ni wangu eroo? Akajibu
"Manzi kanikubali mwenyewe chalii"
Ikabidi nijikate tu alolo nikajiona fara ila manzi akaanzanga leta shobo baada ya muda nikaona huyu hajui kama mimi mkora!? nikamkata shavu kwa kumgonga rafiki yake wa karibu sana alipojua mpaka leo sijawahi kusikia pang'ang'a yoyote.