Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmmh jamn hebu thibitisha bas hay maneno yak
rubii1. Wivu
2. Ub abaifu
3. Mchoyo
4. Nilijisikia tu
5. Nilimchoka
6. Dume Suruali
Mie sikuachwa bali niliacha maana mwenzangu alizidi uchafu. Akija kunitembelea geto langu analikuta safi na linanukia harufu nzuri nzuri tu ya kumfanya mtu mchafu ajisikie vibaya. Yeye akija wala hashangai, anapangua vitabu vyote mezani na tukila utashangaa mchuzi atauacha unakaukia mezani na sakafuni. Wakati mwingine akija na zege (chips mayai) na kuku wake wa kukaanga, utashangaa atakula na kuacha pale mezani kwa wikendi yote yuko pale nami. Nilikuja kushangaa siku moja baada ya yeye kuondoka, nilifanya usafi wa nguvu nikakuta mifupa ya kuku chini ya kochi na handkerchief ya mafua ambayo ni yake pia. Ukimuona kwa macho ni kweli anavutia kinoma, wigi za kila aina anazo, na yuko smart katika kuji-keep uzuri ila uchafu tu ndiyo shida yake. Yaani yeye anajali kuonekana msafi tu na sijawahi kumuona anafua nguo hata siku moja. Yaani mpaka vitambaa vya kupangusia vumbi nilikuwa nafua mimi, yeye yuko bize kuchafua nyumba yangu bila haibu. Katika suala na kuweka papuchi clean huko ndio balaa, maana alikuwa na harufu ya fujo haswa baada ya tendo la ndoa. Samahani kama kuna anayekwazika na hili, ila nilishindwa ikabidi niongee na mdada mmoja ajifanye kuwa ndiye girl friend wangu mpya....yule mdada mchafu lipokuja nyumnai akakutana na mdada mpya wakakorofishana na akatimuliwa kisailensa mpaka leo anabaki kunitukana wakati mwenzie nina furaha ya kubaki lonely na usafi wangu.
ahahaaaaAlikua hanifikishi,nikamweleza ukweli tuakaachana,kuliko kumcheat ni bora tuachane kwa amani. Hadi Leo ni rafiki yangu sana, japo najua siri yake ana kibamia kama cha mtoto.
Mkuu kwani wenyewea si walipewa bure?Wewe unataka kupewa lakini kutoa wewe unaanza kulalama mizinga
Orodhesha foleni yako yoooote.Aliyepita hivi karibuni ama maana wengine kuna foleni
lakini mkuu,si ungemuelimisha tu hayo mambo ya usafi?Mie sikuachwa bali niliacha maana mwenzangu alizidi uchafu. Akija kunitembelea geto langu analikuta safi na linanukia harufu nzuri nzuri tu ya kumfanya mtu mchafu ajisikie vibaya. Yeye akija wala hashangai, anapangua vitabu vyote mezani na tukila utashangaa mchuzi atauacha unakaukia mezani na sakafuni. Wakati mwingine akija na zege (chips mayai) na kuku wake wa kukaanga, utashangaa atakula na kuacha pale mezani kwa wikendi yote yuko pale nami. Nilikuja kushangaa siku moja baada ya yeye kuondoka, nilifanya usafi wa nguvu nikakuta mifupa ya kuku chini ya kochi na handkerchief ya mafua ambayo ni yake pia. Ukimuona kwa macho ni kweli anavutia kinoma, wigi za kila aina anazo, na yuko smart katika kuji-keep uzuri ila uchafu tu ndiyo shida yake. Yaani yeye anajali kuonekana msafi tu na sijawahi kumuona anafua nguo hata siku moja. Yaani mpaka vitambaa vya kupangusia vumbi nilikuwa nafua mimi, yeye yuko bize kuchafua nyumba yangu bila haibu. Katika suala na kuweka papuchi clean huko ndio balaa, maana alikuwa na harufu ya fujo haswa baada ya tendo la ndoa. Samahani kama kuna anayekwazika na hili, ila nilishindwa ikabidi niongee na mdada mmoja ajifanye kuwa ndiye girl friend wangu mpya....yule mdada mchafu lipokuja nyumnai akakutana na mdada mpya wakakorofishana na akatimuliwa kisailensa mpaka leo anabaki kunitukana wakati mwenzie nina furaha ya kubaki lonely na usafi wangu.
kwa hiyo mfano akikutafuta leo itakuaje?
Unapiga ramliTusingedumu!!!