Leo kila mtu ataje sababu iliyomfanya akaachana na mpenzi wake wa zamani

Manzi alinipikia ndizi bila nyama,japo zilikuwa tamu lakini ni kashfa kubwa kumpikia mwanaume wa kabila langu ndizi bila nyama,eti ohh hii inaitwa ndizi mboga mboga,nkamwambia ningekuwa nashida na mbogamboga ningekwambia upike ugali.akala kadi yake nyekundu kiroho safi.
 
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] jmn JF raha sana. Hiyo nyama ulileta mkuu? Nauliza tu
 
ulitoa pesa ya nyama sheikh?
 
Mbavu zangu mie
 
Una tabia mbaya kumsema mwenzako hivyo
 
Nyama ilikuwapo ndani ya jokofu ustadh.zagazaga zote zilikuwapo.na nlishamwambia ndizi bila nyama ni mwiko.lakini akawa analeta dharau.mila na ziheshimiwe,utanpikiaje ndizi salad na mi sio vegan umeambiwa mie mkamba.
hukumuonya mkuu?
 
Nyama ilikuwapo ndani ya jokofu ustadh.zagazaga zote zilikuwapo.na nlishamwambia ndizi bila nyama ni mwiko.lakini akawa analeta dharau.mila na ziheshimiwe,utanpikiaje ndizi salad na mi sio vegan umeambiwa mie mkamba.
Hivi hizi tabia za kutoka kwenu unaenda mpikia mwanaume ambae sio mume wako kwa wkt huo zimetoka wapi? Sasa hotelin nan atanunua? Achen hizo bhana hata huko hotelin wanataka wateja
 
l̲̅o̲̅v̲̅e̲̅ t̲̅r̲̅e̲̅n̲̅d̲̅i̲̅n̲̅g̲̅ n̲̅d̲̅o̲̅ i̲̅l̲̅i̲̅n̲̅i̲̅f̲̅a̲̅n̲̅y̲̅a̲̅ n̲̅k̲̅a̲̅m̲̅p̲̅i̲̅g̲̅a̲̅ k̲̅i̲̅b̲̅u̲̅t̲̅i̲̅ n̲̅a̲̅ k̲̅u̲̅m̲̅s̲̅a̲̅j̲̅i̲̅l̲̅i̲̅ c̲̅l̲̅e̲̅o̲̅p̲̅a̲̅t̲̅r̲̅a̲̅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…