Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisi vibamia tunajituma balaa hatuchapiwi ng'oooUtulivu wake ulikuwa ziro,kidogo tu kishachepuka unasamehe mnaendelea anachepuka Tena nikaona hapa hamna future nitachapiwa mpaka kwenye ndoa nikatupa kule.
Nimeghairi... sitakupiga "dogy" nisije nikazimia bureTeh! kwani si tulikua tunapapasana tu jamani hatu"do" bebe
Acha uongo....Teh! kwani si tulikua tunapapasana tu jamani hatu"do" bebe
Chama tawala sio cha majambaz.....Maana yake chama cha majambazi[emoji23] [emoji23] [emoji23] alikuona Una characters zote
[emoji1] [emoji13] [emoji1] [emoji2] [emoji125] [emoji1] [emoji2]Asee eroo kama ni hivyo uli react vizuri...poa haina pang'ang'a but ile kikawaida utakua unaumia ile kisoro asee...anyway uko wapi tupeane angalau kirikuu cha safari maana na mimi nina maumivu ki keii yaani...Njoo Usa riva joooh
Alirudi kwao na mimi sikuwa tayari kumfuata
Mbona unacheka bablai??[emoji1] [emoji13] [emoji1] [emoji2] [emoji125] [emoji1] [emoji2]
Mkuu mambo ya kwenda kuanza maisha Kolomije inabidi ujipange
Mkwanja unahusika hapa nahisi upo vizuri aiseeee...Nlikua sijajionyesha maisha yangu halisi kwake akanichukulia mtu poa sana na kuniacha
Baada ya kuachana kagundua anadai turudiane [emoji40][emoji40][emoji40]
Umenifurahisha hiyo story yahuyo manziMbona unacheka bablai??
Pia hiyo ofa nimeitamani "kilikuu"Mbona unacheka bablai??