Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio mjue mwanamke anataka kugegedwa bwanaHaha.! Wanawake bhana.
Ungejiunga hapo mpige threesome matataNilimkuta anagegedwa live bila chenga.Sikuongea neno nikaondoka.Mpaka leo hajui nipo wapi na juhudi zake za kunipigia simu yeye na dada zake ziligonga mwamba.Ni miaka nane sasa tangu siku hiyo.
Ww unateseka mpk sasa, mwenzako anakula Raha atakavyo. Pengine ata kukukumbuka hakukumbuki. Penda kwengine maisha yaendelee, hakuna aja ya kumuwaza mtu ukaumia moyo.Baada ya kwenda UDSM mchumba wangu akawa popo mbaya zaidi sikupata hata nafasi ya kumvua Pete yangu ya uchumba gold ring ya 350000 enzi hizo miaka ya 2006,hadi bado nampenda sana sema alishakuwa mtu maarufu na ameolewa na mtu maarufu,wazazi wananiambiaga hakuwa riziki yangu na pengine hasingekuwa mke mwema
Aisee nadhani hii SOFTWARE ya kuacha na kuachwa sikuekewa.
Madem zangu wote tunawasiliana na kupeana kawaida tuu!
Nikija kwenye swala la ndoa ndo naanzaga kutafuta scholarship
Safari hiyo, gap uliloliacha Kuna mtu akachukua points 3yn tulikua na kawaida tukigombana tunanuniana ...km wiki hlf tunatafutana tunasameheana...cku iyo tukanuniana na hakuna aliyemtafuta mwenzake ni mwaka sasa....ilikua mwaka jana mwez wa 4
Daah [emoji23][emoji23][emoji23] watu mlikuwa mmevurugwaAling'ang'ania nibadirishe katiba iwe ya serikali moja but mpango wang ilikua kuongeza zwe tatu.
😆Alikua hanifikishi,nikamweleza ukweli tuakaachana,kuliko kumcheat ni bora tuachane kwa amani. Hadi Leo ni rafiki yangu sana, japo najua siri yake ana kibamia kama cha mtoto.