Leo kila mtu ataje sababu iliyomfanya akaachana na mpenzi wake wa zamani

Leo kila mtu ataje sababu iliyomfanya akaachana na mpenzi wake wa zamani

Mimi msela alinichukulia alafu ni chalii wangu wa tokea utotoni asee.

Kumuuliza chalii siunajua huyu manzi ni wangu eroo? Akajibu

"Manzi kanikubali mwenyewe chalii"

Ikabidi nijikate tu alolo nikajiona fara ila manzi akaanzanga leta shobo baada ya muda nikaona huyu hajui kama mimi mkora!? nikamkata shavu kwa kumgonga rafiki yake wa karibu sana alipojua mpaka leo sijawahi kusikia pang'ang'a yoyote.
Haaaaa Haaaaa pole aisee.,jamaa yako urafiki nao uliisha?
 
Alikua dem wa mizinga sana anajisikia,easily tempered, egoistic in nature, full of pomposity, mmbea sana, mpika majungu, arrogant ,daaah ni mengi sana nlimwacha last month!
Duuu,kama wangu vile Ila tatizo nimezaa nae ,siwezi kumkwepa kabisa ,naishia kujifunza kuvumilia

Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
 
Nilimkuta anagegedwa live bila chenga.Sikuongea neno nikaondoka.Mpaka leo hajui nipo wapi na juhudi zake za kunipigia simu yeye na dada zake ziligonga mwamba.Ni miaka nane sasa tangu siku hiyo.
Aiseeee ulipigwa na shoti kaliii sanaa ulikuwa ushaenda kwao nin umuoe??
 
Wengine tuna sababu zinachekesha ni bora kunyamaza tu


Kucheka ni jambo lenye afya Kwa hiyo tiririka tu Mwanawane tuchekeshe tucheke!

Vibaya kuudhi au kukera lakini kuchekesha ni jambo jema tu!

Karibu
 
Alikua hanifikishi,nikamweleza ukweli tuakaachana,kuliko kumcheat ni bora tuachane kwa amani. Hadi Leo ni rafiki yangu sana, japo najua siri yake ana kibamia kama cha mtoto.
[emoji3][emoji23][emoji23][emoji2][emoji1][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji38]

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Kuna mmoja nilimpata uume wake ulikua mlaini kama sufi ukiingia ukeni ata sielewi kama kumeingia kitu. Alafu alikua na mtindo akishaingiza yote hadi ndani anatulia tu utasikia anagosha [HASHTAG]#vidole[/HASHTAG] vya mkononi au anatingisha kichwa au anabana mdomo na machoyake ujue apo anapizi....na akishapizi analala yaani mazima ufanya kumstua. Nikasema Akaaaa nikae pembeni kwanza ub...ooo soft kama hauna mishipa yaani rainiiiiiiiiii
[emoji16][emoji16][emoji23][emoji2][emoji1][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji38]

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Mm wangu alikuwa mshabiki wa chadema nilimkataza hajanisikia mnk mpk mikutano ya chadema hapo Arusha mjin ikifanyika anafunga safari kutoka kwao ngaramtoni huko na sikafu yake au kofia yake yumo katikati ya mkutano wa lema anautubiaa [emoji16] siku mabomu yanapigwa pale arusha ktk uwanja wa soweto yumo hapo almanusura apigwe afe kwani Ni mmoja wa majerui wa tukio lile

Nilikah nae nikamkataza ila hajanielewa na umwambii kitu kuhusu chdema au kina mbowe na kina lema
Nikaona isiwe tabu Bila shaka huyu ataendana na wanachadema tu mm kipindi hicho Niko ccm daima

Na pia ishu zake zakutaka mm ninyonye papuchi yake nikagoma aliniona mshamba fln HV nikaona Happ sina mmke hap hzo mchezo siwezi na alikuwa Kisu mbaya mbovu

Sasa HV nasikia Yuko ddm .
 
il
Aliniambia kuwa sijawahi kumkosea hata kidogona anajua kuwa nampenda sana kuliko chochote ila ameamua kuwa na mwanamke anaempenda zaidi kuliko mimi....It was very painful to me but I had to accept the fact for the sake of his happiness.
[/QUOTE I can feel you
 
Wakwanza,alitembea na baba yangu mdogo,wa pili ni malaya,ana maex wengi na wote wakimtaka wanamnyandua japo wengine wameoa.Hana akili ya kujitathmini kwa ufupi,hachagui watoto wala wakubwa,anaachia tu.Najuuutia kudeti nae,anagongwa hovyohovyo hadi na marafiki zangu,ni malaya japo ana kazi nzuri tu.Ni malaya,yaani malaya,ukipata namba yake tu,unamla,tena unamlia kwake,sijui ana pepo la ngono,sijui.
 
Ina maana mzimu bas maana atakosaje kuwa na mbele au hata nyuma. Mkuu kamwangalie vzr
Bilashaka,huyu ndiye mtungaji wa mashairi ya Zuchu,eti hana mbele wala nyuma.
 
Aligoma kunyonya dushe siku ya kwanza tu nikamtema maana sikuona haja ya kuwa na mtu ambaye sitakuwa na furaha nikiwa naye japokuwa anadaigi kuwa kwa sasa anaweza nyonya sasa nikawa najiluliza alianza kunyonya ya nani.
😂
 
Back
Top Bottom