Kigoma Independent
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 3,519
- 2,055
- Thread starter
- #41
Nandy Vs zuchuSasa subject hapo ni Zuchu au Nandi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nandy Vs zuchuSasa subject hapo ni Zuchu au Nandi?
Hizo ni za zamaniNa ukute anasubiriwa akafanye maamuzi kwenye kikao cha Familia. Damn shame.
Sio demu mkeMimi huwa nasema wanawake mna huruma Sana.
Eti utakuta mleta mada nae ana demu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dada sky nakupenda sana ilaHuyu ni dada kama wewe ila hasafiri to the moon.
Kula buyuMbona kali tu, we dada una shida gani!? Au Nandy kakuibia bwana?
HaiwezekaniHuu uzi ulitaka kuzungumzia wimbo wa nandy au ulikua unataka kumshindanisha zuchu na nandy? Kwani huwezi kumsifia huyo zuchu bila kumueka nandy?
Haijalishi ila point ni tumepigwaKwa taarifa yako tuu. Huo wimbo umerekodiwa 2019 kama sikosei.
Fact kakaKweli tumepigwa wimbo wa kawaida
Sasa wewe nae wa kibamiaMbona ni buzuki la nguvu tu, tena linafaa kabisa kushushia na bia.
Fact wanampoteza sana ZUCHU pale ndo kichwa cha mashairi Tanzania nzima[emoji3514][emoji3514][emoji3514]Tatizo la Nandy siyo mtunzi mzuri , na pia yupo under high pressure Sana ya mtoto Zuchu ambaye Mwenyezi Mungu mashairi anayahifadhia pale[emoji39].... Connection anapata kuzitumia sasa Tangu ruge asepe daaah anahangaika Sana ..... Alaf asiwe anawatumia hao porn star akina Mwijaku kumpigia promo hawafai wanaongeza maadui
[emoji23][emoji23][emoji23]
Yna2 nakupenda sana walahiHuu Uzi una muhusu zuchu..kuweka heading jina la nandy kisingizio tu.
Nitake radhiYna2 nakupenda sana walahi
Wamekusikia mkuu kunywa maji upoze koo iloVijana wa kiume siku hizi mnatuangusha sana,unakuta janaume zima linaimba sukari nailamba......kweli? Hata kujiuliza maudhui ya wimbo hamreason.........aibu sana,wanaume tumebaki wachache sana
Wewe ni mwanaume?Tatizo haujui mziki dada njoo pm Kwanza ulambe sukari ya ZUCHU
Utataka tuNitake radhi
Kigoma independent sifa zetu wanakigoma mnazijua show show bonge sawa kapunguze mwili[emoji23][emoji23][emoji23]Hii ni serious issue mkuu.. Huyu ni mmoja wao, mwanaume yuko kakalisha mapumbu anaimba sukari halafu anajilamba lamba yuko na earphones, huku akijitingisha kidogo wowowo lake la kiume ...hapo mezani kuna chipsi zege la kutosha anashushia na savanna
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]Wewe ni mwanaume?