Kigoma Independent
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 3,519
- 2,055
- Thread starter
- #101
Kwani sex unui maana yake...? Kuna sex na gender(jinsi na jinsia)Huo mstari ndio ulinistua wakati nipo kwenye daladala walivyomtaja Juma Lokole naye ni Sex.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani sex unui maana yake...? Kuna sex na gender(jinsi na jinsia)Huo mstari ndio ulinistua wakati nipo kwenye daladala walivyomtaja Juma Lokole naye ni Sex.
Kwani sex unui maana yake...? Kuna sex na gender(jinsi na jinsia)
WajingaDona sex ,Lulu sex ,Juma lokole ----------------- Hahahaaaaaa!!
Sana hawaHao ni Timu Mavi ,wanapewa laptop simu za mkononi na wanawekewa bando ili kuwasifu na kuwapamba wasanii wao.
Thread ya Nandy lakini Ndani content yote anamsifu Zuchu.
Zuchu ni mwimbaji mwenye sauti nzuri ya kuvutia ila :-Habarini wanajamvi,kiukweli huyu Nandy currently Hamna kitu maana anaforce kunya kwa tembo na mwisho anapasuka......
Aliona Waah ya The African G O.A.T DIAMOND PLATINUMZ imevunja record ya Africa na yeye akataka atbelee Ile upepo Sasa audio tu ni utopolo fc[emoji23][emoji23][emoji23]
Sukari ya ZUCHU ni Mara 100 ya wimbo huu mpya wa NANDY maana hauna maajabu,ZUCHU the East African Queen anampa presha huyu NANDY.
Ko kiukweli currently hakuna msanii wa kike namba moja zaidi ya ZUCHU na pia ZUCHU ni Bora Mara 100 zaidi ya NANDY.
ZUCHU Yuko full package Kwanza ni composer,singer, songwriter,dancer, performer, investor and proficiency both in English and Swahili language rather than any female artist in East Africa.
Kumbe una mipasho eehTatizo haujui mziki dada njoo pm Kwanza ulambe sukari ya ZUCHU
Usikute we ndio zuchu mwenyewe.Tatizo haujui mziki dada njoo pm Kwanza ulambe sukari ya ZUCHU
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mungu wangu, unakuta huyu ndiyo mume wako wa ndoa zile za mpaka kifo kitutenganishe..!!
'si bora muninyonge'...!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyu anaweza kuwa Juma Lokole!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daaah ts JF lolDona sex ,Lulu sex ,Juma lokole ----------------- Hahahaaaaaa!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi huwa nasema wanawake mna huruma Sana.
Eti utakuta mleta mada nae ana demu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila wee mama mkubwa lolHuyu ni dada kama wewe ila hasafiri to the moon.
Bora cc na wee umeona hilo.Huu Uzi una muhusu zuchu..kuweka heading jina la nandy kisingizio tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nitake radhi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii ni serious issue mkuu.. Huyu ni mmoja wao, mwanaume yuko kakalisha mapumbu anaimba sukari halafu anajilamba lamba yuko na earphones, huku akijitingisha kidogo wowowo lake la kiume ...hapo mezani kuna chipsi zege la kutosha anashushia na savanna
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaahAtakuwa bobriski huyo[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usikute ndo huyu mtoa uzi.Hawa wakigoma tuwasamehe bure, kuna mkigoma mmoja anatamani kumzalia diamond japo yeye ni wa kiume
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie huku mbavu zinauma wallahSawa Baba levo tumekusikia. Vipi umeshajifungua wale mapacha watatu , uliotutangazia utamzalia mondi?