cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Kumbe na wee umemjua sasa. Mie nilishajua tangu zamani, tatzo huwa hajifichi ktk ID zake. [emoji23][emoji23][emoji23]Dogo Inno umeamua kurudi kwenye ID hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe na wee umemjua sasa. Mie nilishajua tangu zamani, tatzo huwa hajifichi ktk ID zake. [emoji23][emoji23][emoji23]Dogo Inno umeamua kurudi kwenye ID hii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Usikute we ndio zuchu mwenyewe.
Eyce nilikuambia mdogo wangu..!Hii ni serious issue mkuu.. Huyu ni mmoja wao, mwanaume yuko kakalisha mapumbu anaimba sukari halafu anajilamba lamba yuko na earphones, huku akijitingisha kidogo wowowo lake la kiume ...hapo mezani kuna chipsi zege la kutosha anashushia na savanna
Sent using Jamii Forums mobile app
True ni mmbaya wala hauleweki hata mimi siuelewi kama hajui amefanya tokonyonyo mara watu wanapiga makelele huyo producer hajitambui pia ni mvuta bangi mzuri katengeneza nini sasa .Habarini wanajamvi,kiukweli huyu Nandy currently Hamna kitu maana anaforce kunya kwa tembo na mwisho anapasuka......
Aliona Waah ya The African G O.A.T DIAMOND PLATINUMZ imevunja record ya Africa na yeye akataka atbelee Ile upepo Sasa audio tu ni utopolo fc![]()
![]()
![]()
Sukari ya ZUCHU ni Mara 100 ya wimbo huu mpya wa NANDY maana hauna maajabu,ZUCHU the East African Queen anampa presha huyu NANDY.
Ko kiukweli currently hakuna msanii wa kike namba moja zaidi ya ZUCHU na pia ZUCHU ni Bora Mara 100 zaidi ya NANDY.
ZUCHU Yuko full package Kwanza ni composer,singer, songwriter,dancer, performer, investor and proficiency both in English and Swahili language rather than any female artist in East Africa.
Sawa lokole ..Habarini wanajamvi,kiukweli huyu Nandy currently Hamna kitu maana anaforce kunya kwa tembo na mwisho anapasuka......
Aliona Waah ya The African G O.A.T DIAMOND PLATINUMZ imevunja record ya Africa na yeye akataka atbelee Ile upepo Sasa audio tu ni utopolo fc[emoji23][emoji23][emoji23]
Sukari ya ZUCHU ni Mara 100 ya wimbo huu mpya wa NANDY maana hauna maajabu,ZUCHU the East African Queen anampa presha huyu NANDY.
Ko kiukweli currently hakuna msanii wa kike namba moja zaidi ya ZUCHU na pia ZUCHU ni Bora Mara 100 zaidi ya NANDY.
ZUCHU Yuko full package Kwanza ni composer,singer, songwriter,dancer, performer, investor and proficiency both in English and Swahili language rather than any female artist in East Africa.
Ameinvest kwenye mziki na return inaonekana na pia kwenye uongeaji wake unaonekana sawa kijana wanguZuchu ni mwimbaji mwenye sauti nzuri ya kuvutia ila :-
Hebu naomba unijibu maswali mawili tu:
Zuchu ameinvest wapi mpaka ukamwita Investor?
Zuchu ana profession ipi ya hizo lugha mbili mpaka umwite proficiency?
Endelea kukaza fuvuKumbe una mipasho eeh
Hapana Mimi ni Nandy ila namkubali superstar ZUCHUUsikute we ndio zuchu mwenyewe.
Endelea kukaza fuvu na utopolo wako wa nandyKumlinganisha Nandy na Zuchu mashavu ni kumkosea heshima Nandy
Tulia mchumba[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaah
Mimi ni Kigoma independent na sio innocent dependentKumbe na wee umemjua sasa. Mie nilishajua tangu zamani, tatzo huwa hajifichi ktk ID zake. [emoji23][emoji23][emoji23]
Endelea kukaza fuvu unazania 70m ni matako Kila mtu anayo...? Platform gani kaangalie SUKARI afu uje ushadadie hiyo utopolo ya nandyUnavyo sema nandi hamna kitu sijui tumepigwa utafikiri labda ulitoa sehemu ya udhamini. Nilisoma sehemu nandy ametumia zaidi ya 70million kwa huu wimbo tu,
Kama wimbo ni mbaya platforms zitaamua zenyewe, wabongo tuache roho mbaya Nandy anaishi maisha mazuri kwaajili ya mziki, au ulitaka awe Fundi cherehani,na tunaopenda mziki mzuri hatuchagui wanamziki
Nimekupenda bureTrue ni mmbaya wala hauleweki hata mimi siuelewi kama hajui amefanya tokonyonyo mara watu wanapiga makelele huyo producer hajitambui pia ni mvuta bangi mzuri katengeneza nini sasa .
Wewe ndo kapuku uyo ambae hata kuimba hajuiKuna huyu dada Angela kutokea kwa mbavu ni wa kumuangalia sana
Sawa zabibu kibamiaSawa lokole ..