Leo Leo ya Nandy na Koffie Olomide tumepigwa

Zuchu ni mwimbaji mwenye sauti nzuri ya kuvutia ila :-

Hebu naomba unijibu maswali mawili tu:

Zuchu ameinvest wapi mpaka ukamwita Investor?

Zuchu ana profession ipi ya hizo lugha mbili mpaka umwite proficiency?
 
Kumlinganisha Nandy na Zuchu mashavu ni kumkosea heshima Nandy
 
Dogo umekosa posho baana bos zako wanakufatilia wamekupa bando alafu mada imefeli kuponda
 
Mungu wangu, unakuta huyu ndiyo mume wako wa ndoa zile za mpaka kifo kitutenganishe..!!

'si bora muninyonge'...!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mimi huwa nasema wanawake mna huruma Sana.

Eti utakuta mleta mada nae ana demu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hawa wakigoma tuwasamehe bure, kuna mkigoma mmoja anatamani kumzalia diamond japo yeye ni wa kiume
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usikute ndo huyu mtoa uzi.
 
Sawa Baba levo tumekusikia. Vipi umeshajifungua wale mapacha watatu , uliotutangazia utamzalia mondi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie huku mbavu zinauma wallah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…