Mowwo
JF-Expert Member
- Aug 15, 2015
- 1,083
- 1,628
Kwema?
Leo majira ya saa 1 jioni hadi saa 3 na nusu mtandao wa vodacom haukua hewani.
Ukipiga simu hazitoki, ukituma sms haziendi na Data haifanyi kazi.
Hii sii mara ya kwanza kwani Sept 28 walikuwa hivi hivi.
Waliahidi wanarudisha mabando yetu hawajarudisha mpaka leo.
Je, Vodacom mnatutania na pesa zetu?
Huu mtandao sio kabisa, na TCRA nawaomba wafuatilie watupe mrejesho
Malalamiko ni mengi na majibu yao ni simple tu.
Mfano👇
Leo majira ya saa 1 jioni hadi saa 3 na nusu mtandao wa vodacom haukua hewani.
Ukipiga simu hazitoki, ukituma sms haziendi na Data haifanyi kazi.
Hii sii mara ya kwanza kwani Sept 28 walikuwa hivi hivi.
Waliahidi wanarudisha mabando yetu hawajarudisha mpaka leo.
Je, Vodacom mnatutania na pesa zetu?
Huu mtandao sio kabisa, na TCRA nawaomba wafuatilie watupe mrejesho
Malalamiko ni mengi na majibu yao ni simple tu.
Mfano👇