Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijui tutakimbilia wapi. Voda inakuwa mtandao wa ovyo kabisaCc: Vodacom Tanzania
The leading cellular Network 🤣🤣🤣
Mbonamekuwa tia maji tia maji halafu nashangaa jamaa yupo UK nachat naye hapa anasema amenitumia hela namwambia sijaona ujumbe. Mkiwa na marekebisho muwe mnatoa taarifa basi mnatukosea nimekuwa Mteja wenu tangu 2008 mpo Ohio na pale PPF TOWERS na niliamua kutafuta line nyingine ya Vodacom baada ya kuona Tigo nao ndio walewale tu. Messages za tuma kwa hii namba zilinikimbiza tigo
Hawarudishi hata 100 hapo walizima kuna mtu wamtrack vizuriHata Mara moja tu wangesikia tatizo kiburi
Wanawatrack mlipo haupo salama Jana ilinisumbua sana jioni yaan hakuna mtandao usiokua na pandikiziSijui tutakimbilia wapi. Voda inakuwa mtandao wa ovyo kabisa
Mje halotel au airtelSijui tutakimbilia wapi. Voda inakuwa mtandao wa ovyo kabisa
Ntachukua line ya Zantel sasa 😃Sijui tutakimbilia wapi. Voda inakuwa mtandao wa ovyo kabisa