Leo majira ya saa 1 jioni hadi saa 3 na nusu mtandao wa vodacom haukuwa hewani

Leo majira ya saa 1 jioni hadi saa 3 na nusu mtandao wa vodacom haukuwa hewani

Kwema?

Leo majira ya saa 1 jioni hadi majira ya saa 3 na nusu mtandao wa vodacom haukua hewani.

Ukipiga simu hazitoki, ukituma sms haziendi na Data haifanyi kazi.

Hii sii mara ya kwanza kwani Sept 28 walikua hivi hivi.

Waliahidi wanarudisha mabando yetu hawajarudisha mpaka leo.

Je, Vodacom mnatutania na pesa zetu?

Huu mtandao sio kabisa, na TCRA nawaomba wafuatilie watupe mrejesho
Malalamiko ni mengi na majibu yao ni simple tu.

Mfano👇

View attachment 3125129
Wanatest mitambo kwa matumizi ya baadae
 
Wamenigombanisha na mke wangu mbwa hawa. Mke wangu alikua anatuma sms nikijibu haziendi, akadhani nampotezea. Mimi nikadhani nimeishiwa bundle langu la sms la mwezi. Nikaamua kumpigia, napiga simu nazo hazitoki. Babe wangu akajiongeza akanipigia, ikabidi nimweleze hali halisi, kumbuka nimechelewa kurudi nyumbani.

Voda mlitaka kunivunjia ndoa yangu na mliniweka hatarini. Mbwa nyie.
 
Vodacom wapuuzi watu tumechoma account zetu Forex kwa ujinga wa kukata Internet 🤣! Lazma watulipe pumbavu zao
Ile siku ya Sept 28 mimi nilipagawa kabisa. Kwenye nilikua kwenye train ya SGR nikahisi labda network njiani. Lakini kutokea Kibaha Soga mpaka Dar network huwa ipo. Kumbe wameshapoteza net wangese sana hawa jamaa.
 
Kwema?

Leo majira ya saa 1 jioni hadi majira ya saa 3 na nusu mtandao wa vodacom haukua hewani.

Ukipiga simu hazitoki, ukituma sms haziendi na Data haifanyi kazi.

Hii sii mara ya kwanza kwani Sept 28 walikua hivi hivi.

Waliahidi wanarudisha mabando yetu hawajarudisha mpaka leo.

Je, Vodacom mnatutania na pesa zetu?

Huu mtandao sio kabisa, na TCRA nawaomba wafuatilie watupe mrejesho
Malalamiko ni mengi na majibu yao ni simple tu.

Mfano👇

View attachment 3125129
Pole Pole nimeanza kuwajulisha contacts wangu. Nahama voda.
 
Wamenigombanisha na mke wangu mbwa hawa. Mke wangu alikua anatuma sms nikijibu haziendi, akadhani nampotezea. Mimi nikadhani nimeishiwa bundle langu la sms la mwezi. Nikaamua kumpigia, napiga simu nazo hazitoki. Babe wangu akajiongeza akanipigia, ikabidi nimweleze hali halisi, kumbuka nimechelewa kurudi nyumbani.

Voda mlitaka kunivunjia ndoa yangu na mliniweka hatarini. Mbwa nyie.
Wana vingi vya kufidia🙌
 
Ile siku ya Sept 28 mimi nilipagawa kabisa. Kwenye nilikua kwenye train ya SGR nikahisi labda network njiani. Lakini kutokea Kibaha Soga mpaka Dar network huwa ipo. Kumbe wameshapoteza net wangese sana hawa jamaa.
Alaf hawakufidia chochote
 
Back
Top Bottom