Leo majira ya saa 1 jioni hadi saa 3 na nusu mtandao wa vodacom haukuwa hewani

Mowwo

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2015
Posts
1,083
Reaction score
1,628
Kwema?

Leo majira ya saa 1 jioni hadi saa 3 na nusu mtandao wa vodacom haukua hewani.

Ukipiga simu hazitoki, ukituma sms haziendi na Data haifanyi kazi.

Hii sii mara ya kwanza kwani Sept 28 walikuwa hivi hivi.

Waliahidi wanarudisha mabando yetu hawajarudisha mpaka leo.

Je, Vodacom mnatutania na pesa zetu?

Huu mtandao sio kabisa, na TCRA nawaomba wafuatilie watupe mrejesho
Malalamiko ni mengi na majibu yao ni simple tu.

Mfano👇

 
Halafu nyie Vodacom Tanzania habari za kuniunga kwenye viprogramu vyenu uchwara sitaki kabisa vinginevyo nitawaburuza MAHAKAMANI muda sio mrefu.

Mara unashtuka umeshaunganishwa kwenye kadude gani sijui, unaambiwa utakatwa shilingi mia kila siku, HIVI MNA KICHAA?

Tuheshimiane sana, sina pesa za mchezo!!!! Nikija huko ofisini kwenu ndo mtanitambua labda polisi waingilie kati kudadeki zenyu. NTAWAVAA JUMLA JUMLA.

Sitaki kuungwa kwenye viprogramu uchwara. Ole wenyu!!!
 
Cc: Vodacom Tanzania
The leading cellular Network 🤣🤣🤣
Mbonamekuwa tia maji tia maji halafu nashangaa jamaa yupo UK nachat naye hapa anasema amenitumia hela namwambia sijaona ujumbe. Mkiwa na marekebisho muwe mnatoa taarifa basi mnatukosea nimekuwa Mteja wenu tangu 2008 mpo Ohio na pale PPF TOWERS na niliamua kutafuta line nyingine ya Vodacom baada ya kuona Tigo nao ndio walewale tu. Messages za tuma kwa hii namba zilinikimbiza tigo
 
Nimehama nipo Airtel mtandao unaojielewa hapa tanzania maana tigo haujielewi kwa internent na ukiwa mbali kijijini haupatikani ila airtel popote tunakupata tunakuhudumia sasa endeleni kulia hadi voda unanuksi ukiwa kwenye mahusiano unaachwa kila siku
 
Tuko pamoja bichwa, mi mwenyewe wanikome kabisa
 
Acha uongoo taratibu taratibuuuuu utqpigwa na wale walinzi hadi ukumbuke kitovu chako ulikatiwa wapi 🤣🤣🤣🤣🤣 shauri yako utatundu lissu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…