Wanachojua ni kutengeneza stream za kutupiga tuu. Kero zao kutatua wanaona shida. Mimi huyo CEO ningekutana nae saa iz ningemtukanaHalafu nyie Vodacom Tanzania habari za kuniunga kwenye viprogramu vyenu uchwara sitaki kabisa vinginevyo nitawaburuza MAHAKAMANI muda sio mrefu.
Mara unashtuka umeshaunganishwa kwenye kadude gani sijui, unaambiwa utakatwa shilingi mia kila siku, HIVI MNA KICHAA?
Tuheshimiane sana, sina pesa za mchezo!!!! Nikija huko ofisini kwenu ndo mtanitambua labda polisi waingilie kati kudadeki zenyu. NTAWAVAA JUMLA JUMLA.
Sitaki kuungwa kwenye viprogramu uchwara. Ole wenu!!!
Wabongo bhana [emoji119]
Nawewe mitandao imejaa kazi kulia lia kama mama kakunyima nyonyoo .Kwema?
Leo majira ya saa 1 jioni hadi majira ya saa 3 na nusu mtandao wa vodacom haukua hewani. Ukipiga simu hazitoki, ukituma sms haziendi na Data haifanyi kazi.
Hii sii mara ya kwanza kwani Sept 28 walikua hivi hivi. Waliahidi wanarudisha mabando yetu hawajarudisha mpaka leo. Je Vodacom mnatutania na pesa zetu?
Huu mtandao sio kabisa, na TCRA nawaomba wafuatilie watupe mrejesho
Malalamiko ni mengi na majibu yao ni simple tu. Mfno👇
Mazoea mabaya mkuu, line yangu ina zaidi ya miaka 15 na ndo imezoeleka miamala yote nafanyia umo. Kwahyo kubadil ghafla inakua sio rahis. Lkn ntawahamaDawa ni kuwa na ka line kako active kanunulie bando lisilo na kikomo, kuna jambo nikilikamilisha voda hawataniona tena mbuzi hao
Jipeni moyo hayaa wakija kweli hapa mnatawanyikaWanachojua ni kutengeneza stream za kutupiga tuu. Kero zao kutatua wanaona shida. Mimi huyo CEO ningekutana nae saa iz ningemtukana
😂 Acha nicheke na kunyamaza tuu 😂Uliza hasara yenyewe sasa [emoji3][emoji3] ukute alitaka kuweka mikeka
😀😀mkuu unaeza shangaa muamala umerudi kwa alietuma. Last time ilikua ivoCc: Vodacom Tanzania
The leading cellular Network 🤣🤣🤣
Mbonamekuwa tia maji tia maji halafu nashangaa jamaa yupo UK nachat naye hapa anasema amenitumia hela namwambia sijaona ujumbe. Mkiwa na marekebisho muwe mnatoa taarifa basi mnatukosea nimekuwa Mteja wenu tangu 2008 mpo Ohio na pale PPF TOWERS na niliamua kutafuta line nyingine ya Vodacom baada ya kuona Tigo nao ndio walewale tu. Messages za tuma kwa hii namba zilinikimbiza tigo
Wangekua wanafidia hata kidogo ingekua uhakika. Wao wanajibu kifupi tuu wanaomba radhi. Inasaidia nn sasaVodacom wanahujumu biashara za watu kwa kukata network bila kutoa taarifa zozote na siyo mara moja.
Ni muda wa kutafuta sehemu ya kuhamia maana hata miamala ya fedha sikuhizi inasumbua unaweza kutuma pesa wakakwambia imekwama hewani wanakurudishia baada ya masaa 24 tayari mipango yako imeshakwama
Hilj naunga mkono, nimepata shida sana jioni hii kwa sisi tunaotegemea Internet service kutoka voda na maeneo tuliyopo ni unaccessible kwq mitandao mingine basi ni karaha kwakweliKwema?
Leo majira ya saa 1 jioni hadi majira ya saa 3 na nusu mtandao wa vodacom haukua hewani. Ukipiga simu hazitoki, ukituma sms haziendi na Data haifanyi kazi.
Hii sii mara ya kwanza kwani Sept 28 walikua hivi hivi. Waliahidi wanarudisha mabando yetu hawajarudisha mpaka leo. Je Vodacom mnatutania na pesa zetu?
Huu mtandao sio kabisa, na TCRA nawaomba wafuatilie watupe mrejesho
Malalamiko ni mengi na majibu yao ni simple tu. Mfno👇
Maphalla sana voda, wamezuia miamala yamngu...mbwa nyieKwema?
Leo majira ya saa 1 jioni hadi majira ya saa 3 na nusu mtandao wa vodacom haukua hewani. Ukipiga simu hazitoki, ukituma sms haziendi na Data haifanyi kazi.
Hii sii mara ya kwanza kwani Sept 28 walikua hivi hivi. Waliahidi wanarudisha mabando yetu hawajarudisha mpaka leo. Je Vodacom mnatutania na pesa zetu?
Huu mtandao sio kabisa, na TCRA nawaomba wafuatilie watupe mrejesho
Malalamiko ni mengi na majibu yao ni simple tu. Mfno👇
Maxence Melo watafuteni wahusika muwaulize kuh hizi kero. Wanawajibikaje?Hilj naunga mkono, nimepata shida sana jioni hii kwa sisi tunaotegemea Internet service kutoka voda na maeneo tuliyopo ni unaccessible kwq mitandao mingine basi ni karaha kwakweli
Bi mkubwa kila siku ananipigia simu analalamika anashangaa hela zake zinakatwa kwenye simu na hajakopa popote, kumbe hawa MAJIZI Vodacom Tanzania wamemuunganisha kwenye makorokocho yao bila idhini yake.Tuko pamoja bichwa, mi mwenyewe wanikome kabisa