Wanatest mitambo kwa matumizi ya baadaeKwema?
Leo majira ya saa 1 jioni hadi majira ya saa 3 na nusu mtandao wa vodacom haukua hewani.
Ukipiga simu hazitoki, ukituma sms haziendi na Data haifanyi kazi.
Hii sii mara ya kwanza kwani Sept 28 walikua hivi hivi.
Waliahidi wanarudisha mabando yetu hawajarudisha mpaka leo.
Je, Vodacom mnatutania na pesa zetu?
Huu mtandao sio kabisa, na TCRA nawaomba wafuatilie watupe mrejesho
Malalamiko ni mengi na majibu yao ni simple tu.
Mfano👇
View attachment 3125129
Ile siku ya Sept 28 mimi nilipagawa kabisa. Kwenye nilikua kwenye train ya SGR nikahisi labda network njiani. Lakini kutokea Kibaha Soga mpaka Dar network huwa ipo. Kumbe wameshapoteza net wangese sana hawa jamaa.Vodacom wapuuzi watu tumechoma account zetu Forex kwa ujinga wa kukata Internet 🤣! Lazma watulipe pumbavu zao
Pole Pole nimeanza kuwajulisha contacts wangu. Nahama voda.Kwema?
Leo majira ya saa 1 jioni hadi majira ya saa 3 na nusu mtandao wa vodacom haukua hewani.
Ukipiga simu hazitoki, ukituma sms haziendi na Data haifanyi kazi.
Hii sii mara ya kwanza kwani Sept 28 walikua hivi hivi.
Waliahidi wanarudisha mabando yetu hawajarudisha mpaka leo.
Je, Vodacom mnatutania na pesa zetu?
Huu mtandao sio kabisa, na TCRA nawaomba wafuatilie watupe mrejesho
Malalamiko ni mengi na majibu yao ni simple tu.
Mfano👇
View attachment 3125129
Wana vingi vya kufidia🙌Wamenigombanisha na mke wangu mbwa hawa. Mke wangu alikua anatuma sms nikijibu haziendi, akadhani nampotezea. Mimi nikadhani nimeishiwa bundle langu la sms la mwezi. Nikaamua kumpigia, napiga simu nazo hazitoki. Babe wangu akajiongeza akanipigia, ikabidi nimweleze hali halisi, kumbuka nimechelewa kurudi nyumbani.
Voda mlitaka kunivunjia ndoa yangu na mliniweka hatarini. Mbwa nyie.
Alaf hawakufidia chochoteIle siku ya Sept 28 mimi nilipagawa kabisa. Kwenye nilikua kwenye train ya SGR nikahisi labda network njiani. Lakini kutokea Kibaha Soga mpaka Dar network huwa ipo. Kumbe wameshapoteza net wangese sana hawa jamaa.