Leo Mayele ameonesha ukubwa wake kwenye mechi dhidi ya Mauritania

Leo Mayele ameonesha ukubwa wake kwenye mechi dhidi ya Mauritania

Pale tunaposema Mayele ni mchezaji maarufu Tanzania na mchezaji mkubwa Tanzania tunamaanisha sio kwamba tunasemea ushabiki

Wote ambao wamecheki game ya Kongo leo na Mauritania
Watakubali ila wabishi ambao hawakucheki game watakataa

Ukubwa wa Mayele umeonekana kwenye dakika ya 80 pale mashabiki walianza kuimba nyimbo za kuomba kocha amuingize Mayele. Uwanja mzima ulikuwa unasema Fiston Mayele Fiston Mayele

Kabla ya Mayele kutua Tanzania league ya Tanzania ilionekana ni dhaifu saana

Nenda kwenye page za Waarabu sasa utakuta wamepost picha za Mayele
Nenda kwenye page za soccer Afrika wamepost picha za Mayele

Mayele ni bendera ya League yetu
Hapo tu hajafunga Goli unatupigia hivi Kelele je, angefunga si ndiyo Ungetujambia hapa kabisa?
 
Pale tunaposema Mayele ni mchezaji maarufu Tanzania na mchezaji mkubwa Tanzania tunamaanisha sio kwamba tunasemea ushabiki

Wote ambao wamecheki game ya Kongo leo na Mauritania
Watakubali ila wabishi ambao hawakucheki game watakataa

Ukubwa wa Mayele umeonekana kwenye dakika ya 80 pale mashabiki walianza kuimba nyimbo za kuomba kocha amuingize Mayele. Uwanja mzima ulikuwa unasema Fiston Mayele Fiston Mayele

Kabla ya Mayele kutua Tanzania league ya Tanzania ilionekana ni dhaifu saana

Nenda kwenye page za Waarabu sasa utakuta wamepost picha za Mayele
Nenda kwenye page za soccer Afrika wamepost picha za Mayele

Mayele ni bendera ya League yetu

Kafunga magoli mangapi?
 
Nasikia licha ya kuingia lakini hakugusa mpira hata mara moja
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Hapa tunajadili nini. Nakuuliza mara ya 2. Jibu swali badala ya kuonyesha upumbavu wako. Mbo a nyinyi watu mnakuwa wapuuzi kiasi hiki. Badala ya kujibu swali langu unaleta kejeli.Stop your nonsense adress the subject matter
Kama umeshindwa kuelewa uzi huo ni Ujinga wako unataka uambiwe tena yunajadili Nini?? Huo ndio u non sense kama hukuelewa uzi si ungekaa Kimya hili sio Darasa soma uzi kama huelewi kaa kimya.
 
Pale tunaposema Mayele ni mchezaji maarufu Tanzania na mchezaji mkubwa Tanzania tunamaanisha sio kwamba tunasemea ushabiki

Wote ambao wamecheki game ya Kongo leo na Mauritania
Watakubali ila wabishi ambao hawakucheki game watakataa

Ukubwa wa Mayele umeonekana kwenye dakika ya 80 pale mashabiki walianza kuimba nyimbo za kuomba kocha amuingize Mayele. Uwanja mzima ulikuwa unasema Fiston Mayele Fiston Mayele

Kabla ya Mayele kutua Tanzania league ya Tanzania ilionekana ni dhaifu saana

Nenda kwenye page za Waarabu sasa utakuta wamepost picha za Mayele
Nenda kwenye page za soccer Afrika wamepost picha za Mayele

Mayele ni bendera ya League yetu
Alistahiri kuwa MVP mwaka Jana ila usimba na uyanga ukamkatili. Hata magoli yake halali baadhi yakawa yanakataliwa.
 
Pale tunaposema Mayele ni mchezaji maarufu Tanzania na mchezaji mkubwa Tanzania tunamaanisha sio kwamba tunasemea ushabiki

Wote ambao wamecheki game ya Kongo leo na Mauritania
Watakubali ila wabishi ambao hawakucheki game watakataa

Ukubwa wa Mayele umeonekana kwenye dakika ya 80 pale mashabiki walianza kuimba nyimbo za kuomba kocha amuingize Mayele. Uwanja mzima ulikuwa unasema Fiston Mayele Fiston Mayele

Kabla ya Mayele kutua Tanzania league ya Tanzania ilionekana ni dhaifu saana

Nenda kwenye page za Waarabu sasa utakuta wamepost picha za Mayele
Nenda kwenye page za soccer Afrika wamepost picha za Mayele

Mayele ni bendera ya League yetu
Makolo FC, Pusha FC, Punda FC, Bwimbwi FC watabisha.
 
Pale tunaposema Mayele ni mchezaji maarufu Tanzania na mchezaji mkubwa Tanzania tunamaanisha sio kwamba tunasemea ushabiki

Wote ambao wamecheki game ya Kongo leo na Mauritania
Watakubali ila wabishi ambao hawakucheki game watakataa

Ukubwa wa Mayele umeonekana kwenye dakika ya 80 pale mashabiki walianza kuimba nyimbo za kuomba kocha amuingize Mayele. Uwanja mzima ulikuwa unasema Fiston Mayele Fiston Mayele

Kabla ya Mayele kutua Tanzania league ya Tanzania ilionekana ni dhaifu saana

Nenda kwenye page za Waarabu sasa utakuta wamepost picha za Mayele
Nenda kwenye page za soccer Afrika wamepost picha za Mayele

Mayele ni bendera ya League yetu
Umeandika mengi ukweli. Lakini kuandika kwamba ligi ya Tanzania ilikuwa dhaifu kabla Mayele hajaja ni uzuzu-baridi!
 
Pale tunaposema Mayele ni mchezaji maarufu Tanzania na mchezaji mkubwa Tanzania tunamaanisha sio kwamba tunasemea ushabiki

Wote ambao wamecheki game ya Kongo leo na Mauritania
Watakubali ila wabishi ambao hawakucheki game watakataa

Ukubwa wa Mayele umeonekana kwenye dakika ya 80 pale mashabiki walianza kuimba nyimbo za kuomba kocha amuingize Mayele. Uwanja mzima ulikuwa unasema Fiston Mayele Fiston Mayele

Kabla ya Mayele kutua Tanzania league ya Tanzania ilionekana ni dhaifu saana

Nenda kwenye page za Waarabu sasa utakuta wamepost picha za Mayele
Nenda kwenye page za soccer Afrika wamepost picha za Mayele

Mayele ni bendera ya League yetu
Nilifikir labda katupia kumbe ni ujinga tu unasifia, hiz ni tabia za watu wa upinde kumsifia mwanaume mwenzio pasipo na sababu.
 
Ukubwa wa Mayele umeonekana kwenye dakika ya 80 pale mashabiki walianza kuimba nyimbo za kuomba kocha amuingize Mayele.
Kilichotokea sasa baada ya kuingia! 😀😀 😀
 
Hajagusa bolu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Back
Top Bottom