Leo Mayele ameonesha ukubwa wake kwenye mechi dhidi ya Mauritania

Leo Mayele ameonesha ukubwa wake kwenye mechi dhidi ya Mauritania

Pale tunaposema Mayele ni mchezaji maarufu Tanzania na mchezaji mkubwa Tanzania tunamaanisha sio kwamba tunasemea ushabiki

Wote ambao wamecheki game ya Kongo leo na Mauritania
Watakubali ila wabishi ambao hawakucheki game watakataa

Ukubwa wa Mayele umeonekana kwenye dakika ya 80 pale mashabiki walianza kuimba nyimbo za kuomba kocha amuingize Mayele. Uwanja mzima ulikuwa unasema Fiston Mayele Fiston Mayele

Kabla ya Mayele kutua Tanzania league ya Tanzania ilionekana ni dhaifu saana

Nenda kwenye page za Waarabu sasa utakuta wamepost picha za Mayele
Nenda kwenye page za soccer Afrika wamepost picha za Mayele

Mayele ni bendera ya League yetu
Kwa hiyo hajacheza?
 
Kapike daku πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
Mayele, kabadilisha mengi kwenye ligi yetu...
Kila mchezaji sasa anatafuta, style yake ya ushangiliaji.
Kila mfungaji, anakamia afunge magoli mengi.
Mayele tutamjengea sanamu lake 😎
 
Mpk dkk ya 80...
Tena sio kocha ni mashabiki...
 
Hapa tunajadili nini. Nakuuliza mara ya 2. Jibu swali badala ya kuonyesha upumbavu wako. Mbo a nyinyi watu mnakuwa wapuuzi kiasi hiki. Badala ya kujibu swali langu unaleta kejeli.Stop your nonsense adress the subject matter
Hivi humu wakiitwa wapumbavu wawili wewe utakosena kweli?

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Kapike daku πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
Mkiambiwa ni mbumbumbu sukuma reli ndiyo hivi.
Kwanza mimi si wa huko kwa kupika daku.
PIli wewe huna mamalaka ya kunipangia mimi chochote,katika maisha yangu.
 
Pale tunaposema Mayele ni mchezaji maarufu Tanzania na mchezaji mkubwa Tanzania tunamaanisha sio kwamba tunasemea ushabiki

Wote ambao wamecheki game ya Kongo leo na Mauritania
Watakubali ila wabishi ambao hawakucheki game watakataa

Ukubwa wa Mayele umeonekana kwenye dakika ya 80 pale mashabiki walianza kuimba nyimbo za kuomba kocha amuingize Mayele. Uwanja mzima ulikuwa unasema Fiston Mayele Fiston Mayele

Kabla ya Mayele kutua Tanzania league ya Tanzania ilionekana ni dhaifu saana

Nenda kwenye page za Waarabu sasa utakuta wamepost picha za Mayele
Nenda kwenye page za soccer Afrika wamepost picha za Mayele

Mayele ni bendera ya League yetu
Nasikia kagusa mpira mara moja tu
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Mayele. Au tulete ule Uzi pendwa wa Kibu Denis vs Mayele?


47A261D2-A606-4FA4-94BB-2B0499E55024.jpeg
🀣🀣🀣
 
Nikajua kafunga hat-trick, kumbe kaimbiwa nyimbo?
Hata mwanangu kaimbiwa nyimbo leo na mtaa mzima kwenye party yake ya siku ya kuzaliwa
 
  • Thanks
Reactions: 7ve
Nikajua kafunga hat-trick, kumbe kaimbiwa nyimbo?
Hata mwanangu kaimbiwa nyimbo leo na mtaa mzima kwenye party yake ya siku ya kuzaliwa
Hehehe mi mwenyewe nikajua labda kapiga 3 kama za chama kumbe mashabiki wame imbaa kama maandamano ya odinga kuomba bei ya unga kushuka.
 
Back
Top Bottom