Diazepam
JF-Expert Member
- Dec 3, 2020
- 1,263
- 3,523
ππ hata moja tu mtani? Basi sawaMengi sana, ngoja tumjengee sanamu, tutayaorodhesha pale π π π π π
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ππ hata moja tu mtani? Basi sawaMengi sana, ngoja tumjengee sanamu, tutayaorodhesha pale π π π π π
Kwa hiyo hajacheza?Pale tunaposema Mayele ni mchezaji maarufu Tanzania na mchezaji mkubwa Tanzania tunamaanisha sio kwamba tunasemea ushabiki
Wote ambao wamecheki game ya Kongo leo na Mauritania
Watakubali ila wabishi ambao hawakucheki game watakataa
Ukubwa wa Mayele umeonekana kwenye dakika ya 80 pale mashabiki walianza kuimba nyimbo za kuomba kocha amuingize Mayele. Uwanja mzima ulikuwa unasema Fiston Mayele Fiston Mayele
Kabla ya Mayele kutua Tanzania league ya Tanzania ilionekana ni dhaifu saana
Nenda kwenye page za Waarabu sasa utakuta wamepost picha za Mayele
Nenda kwenye page za soccer Afrika wamepost picha za Mayele
Mayele ni bendera ya League yetu
Mbona nimetaja matatu pale juu mtani πππ hata moja tu mtani? Basi sawa
ππ kwenye style ya kushangiliaa sawa mtani ila hayo mengine hapanaππMbona nimetaja matatu pale juu mtani π
PUpuuzi mtupu
naona mayele ni kama jiwe walilolikata washiMayele, kabadilisha mengi kwenye ligi yetu...
Kila mchezaji sasa anatafuta, style yake ya ushangiliaji.
Kila mfungaji, anakamia afunge mgoli mengi.
Mayele tutamjengea sanamu lake π
Mayele, kabadilisha mengi kwenye ligi yetu...
Kila mchezaji sasa anatafuta, style yake ya ushangiliaji.
Kila mfungaji, anakamia afunge magoli mengi.
Mayele tutamjengea sanamu lake π
Hivi humu wakiitwa wapumbavu wawili wewe utakosena kweli?Hapa tunajadili nini. Nakuuliza mara ya 2. Jibu swali badala ya kuonyesha upumbavu wako. Mbo a nyinyi watu mnakuwa wapuuzi kiasi hiki. Badala ya kujibu swali langu unaleta kejeli.Stop your nonsense adress the subject matter
Mkiambiwa ni mbumbumbu sukuma reli ndiyo hivi.Kapike daku ππππ
Nasikia kagusa mpira mara moja tuPale tunaposema Mayele ni mchezaji maarufu Tanzania na mchezaji mkubwa Tanzania tunamaanisha sio kwamba tunasemea ushabiki
Wote ambao wamecheki game ya Kongo leo na Mauritania
Watakubali ila wabishi ambao hawakucheki game watakataa
Ukubwa wa Mayele umeonekana kwenye dakika ya 80 pale mashabiki walianza kuimba nyimbo za kuomba kocha amuingize Mayele. Uwanja mzima ulikuwa unasema Fiston Mayele Fiston Mayele
Kabla ya Mayele kutua Tanzania league ya Tanzania ilionekana ni dhaifu saana
Nenda kwenye page za Waarabu sasa utakuta wamepost picha za Mayele
Nenda kwenye page za soccer Afrika wamepost picha za Mayele
Mayele ni bendera ya League yetu
Kabisa..mtu amecheza dakika 8 tu na tayari timu ilikuwa tayari inaongoza..Upuuzi mtupu
Mayele. Au tulete ule Uzi pendwa wa Kibu Denis vs Mayele?
Hehehe mi mwenyewe nikajua labda kapiga 3 kama za chama kumbe mashabiki wame imbaa kama maandamano ya odinga kuomba bei ya unga kushuka.Nikajua kafunga hat-trick, kumbe kaimbiwa nyimbo?
Hata mwanangu kaimbiwa nyimbo leo na mtaa mzima kwenye party yake ya siku ya kuzaliwa
Pale kwa MfugareeeeeeeMayele, kabadilisha mengi kwenye ligi yetu...
Kila mchezaji sasa anatafuta, style yake ya ushangiliaji.
Kila mfungaji, anakamia afunge magoli mengi.
Mayele tutamjengea sanamu lake [emoji41]