Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama nikutoa kwa wakala basi atumie simbanking na sio wakala kwa kutumia kadi..Hela yako utapata bila wasiwasi Ila usipendee kutoa hela Kwa wakala tumia zaidi sm banking
Haujaelewa, rudia tenaKama unaweza kwenda bank unaendaje kutoa million moja kwa wakala duh
Namimi kwasasa nadeal na bank wajue wananipaje changu kama waliwapa mashine za mawakala Hadi matapeli watajua waoKwa hiyo case yako utaipata. Kuna mmoja alishawahi kunichezeshea hivyo. Ila mwishoni benki walinisaidia nikaipata japo haikuwa amount kama hiyo ilikuwa chini ya million
Namimi nmejifunza hiyoMimi ni marufuku kutoa fedha kwa kadi yangu kupitia kwa Wakala.
Ni wizi, na camera zipo kwenye ATM zote.Duuh sasa endapo ungeondoka nazo hizo pesa kosa lingekuwa la nani, bank au mwenye pesa?
Pole kwa changamoto elezea usumbufu gani dogo ulimpata au ndio kakimbia na bosi wake Je?SITOKUJA KUTOA PESA TENA KWA WAKALA WA BANK, USUMBUFU NINAOUPATA SIO WA KAWAIDA
Story ndefu Sana ngoja muafaka ufike nitawajuzaPole kwa changamoto elezea usumbufu gani dogo ulimpata au ndio kakimbia na bosi wake Je?
Jmn 😃Una miaka mingapi hujawahi changia hata ujenzi wa kanisa?
Maandiko matakatifu yanasemaJmn 😃
Me kuna masuala hayo ya benk yalinishinda asee kwanza nikaja kugundua benki waachiwe matajiri na makampuni ila sisi uchumi wa kati benk sio salama kwetu, Kwanza hela zangu alafu unanisumbua nazo😁 Yaani kuna siku walinikwaza sana hawa jamaa ndipo nikagundua hata hela zangu yawezekana hazipo salama, Nikawithdraw zote kwa hasira hadi leo mambo ya benk sina tym nayo natembea tu na card empty labda siku wanaweza kukosea wakaniwekeamo kimuamala nikitoe fasta.Usenge Sana, na nisipopata hii pesa natoa hela zangu zote naweka ndan usenge huu
Uliipata kwa wakala huyo huyo au ilirudishwa kwenye account?Pesa yangu nmeipata Kwa Msaada CRDB bank, Kwa wakala sitoi tena pesa nmejifunza kitu, ningezubaa kidogo tuu wakala angenipiga
Umeipataje?Pesa yangu nmeipata Kwa Msaada CRDB bank, Kwa wakala sitoi tena pesa nmejifunza kitu, ningezubaa kidogo tuu wakala angenipiga
Ni story ndefu kidogo wakala alinizungusha Sana, nikareport CRDB na kuandika maelezo, alipoitwa akatishiwa POLISI ndio akaleta pesaUmeipataje?