Umkonto umsizwe
JF-Expert Member
- Feb 7, 2023
- 454
- 949
Ngoma bado?Ushauri wangu KAMA ATM INASUMBUA USITOE PESA KWA WAKALA, NI WASUMBUFU MNO
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoma bado?Ushauri wangu KAMA ATM INASUMBUA USITOE PESA KWA WAKALA, NI WASUMBUFU MNO
Uyo dogo bado ajafungua?Ngoma bado?
Kesho ndio fainaliNgoma bado?
Ndio naipambaniaFatilia hela yako utaipata
Watu wanatoa pesa kwa mawakala tena mpka mil 10 na unaiacha unachukua kidogo kidogo, fuatila pesa yakoUshauri wangu KAMA ATM INASUMBUA USITOE PESA KWA WAKALA, NI WASUMBUFU MNO
Ndio, Ni story ndefu Sana ngoja nikifikia muafaka nikakuja kuweka updateUyo dogo bado ajafungua?
Sio mawakala wote sasa, wababaishaji wapoWatu wanatoa pesa kwa mawakala tena mpka mil 10 na unaiacha unachukua kidogo kidogo, fuatila pesa yako
Wakala kumbia na pesa ya mteja ni very risk taarifa zake zote ziko bank ni swala la muda tu atakamatwa na pesa yako itarudishwaSio mawakala wote sasa, wababaishaji wapo
DuuhNdio, Ni story ndefu Sana ngoja nikifikia muafaka nikakuja kuweka update
Pole sana mkuu, pambanaSio mawakala wote sasa, wababaishaji wapo
Hii mambo wangeiondoa tuu ni utapeliWakala wa benki hawaaminiki, tuwe makini hasa NMB Kuna wakala alipokea pesa kuweka kwenye akaunti ya mteja. Akampa risiti ya kielectroniki mteja kuthibitisha pesa imepokelewa benki. Baada siku kadhaa kwenda kuangalia Salio benki pesa iliyowekwa hakuna. Katika uchunguzi kumbe risiti ilikuwa feki, jina la mwekaji limekosewa, hata tarehe iliyowekwa Hela ni nyingine! LAKINI BADO WANAMLINDA WAKALA WAO. wakati Kuna kesi ya jinai iko wazi dhidi ya wakala. Nmb hawana msaada wowote.
Duuh sasa endapo ungeondoka nazo hizo pesa kosa lingekuwa la nani, bank au mwenye pesa?Mnawasingizia wakala bure, hata kwenye ATM unaweza kutowa pesa mashine isitowe pesa, ukitowa kadi akiingia mtu mwingine anazikuta pesa zimetoka.
Nilishawahi kuzikuta pesa zimetoka jamaa kaondoka lakini nilimuita aje kuchukuwa pesa zake.
Pole kaka, komaa mpaka kieleweke upate fedha yako. Ila mimi siku nakuuliza maswali kwenye uzi huu, nilikuwa nataka kukujenga ujue namna ya kukabiliana nao na ujue possible defense zaoHaya mambo ya bank kua na mawakala kama Mitandao ya simu NI upumbavu, bank ibaki kama bank na heshima Yake kama zaman