FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Tapeli huyoKilichotoka ni 1m, nilimwambia atoe ni laki1
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tapeli huyoKilichotoka ni 1m, nilimwambia atoe ni laki1
Hata CRDB wameshauri hivyo, hiyo Kesho naisubiri Kwa hamu, ikifika sa4 hajafungua naenda kwenye Tawi la CRDB kuripoti tena, nikiona hakuna Masada naenda polisiWewe subiri Jumatatu uone kama watafungua. Ukienda polisi sasa hivi utapoteza muda bure.
Mkuu, utathibitishaje sasa kuwa hukupewa hiyo 1m?
"Auna unjanja oote" mkuu kabla ya yote nenda bank u print bank statement inayoonyesha huo muamala kwanza utaweza kusaidia baadae wakianza kukupiga dana danau
Unaongea nini wewe? Nimeshapiga simu customer care na wamethibitisha pesa imetoka Kwa wakala japo ilichelewa Kwa sababu za mtandao, wamesema nisubiri afungue nichukue pesa yangu, kama asiponipa Niwapigie niwape simu waongee nae, sasa wewe unaongelea nini hapa"Auna unjanja oote" mkuu kabla ya yote nenda bank u print bank statement inayoonyesha huo muamala kwanza utaweza kusaidia baadae wakianza kukupiga dana dana
Muaminifu huyoKutoa hela kwa wakala si salama sana japo Kuna mazingira yanakulazimu kufanya ivo!
Mimi Kuna wakala, brother fulani maeneo ya njia panda ya segerea niliwahi kwenda kwake kutoa hela!
Nikatoa mara ya kwanza mtandao ukagoma!
Nikarudia kutoa mara ya pili ikakubali ilikuwa ni laki 4 na 50
Zikapita wiki mbili .. Nikaenda ATM kutoa hela naambiwa hakuna hela!
Kuwapigia simu watu wa NMB wakaniambia siku Ile nilifanya miamala 2 kwa wakati mmoja!
Nilivyorudi kwa jamaa kumuelezea na kumtajia na tarehe akaona ni kweli akanirudishia hiyo fedha
Tola siku hiyo, nikiwa na miamala wa kufanya naenda kwake!
Download simbanking uwe unatoa pesa bila kadiJana tarehe 21 Feb 2025 mchana hivi kulikua na tatizo la mtandao CRDB BANK, nilipita ATM kutoa pesa lakini sikufanikiwa mtandao ulikua down Sana! Nikatoka pale nikaendelea na mambo yangu mengine, badae kidogo nikaona nijaribu tena kutoa Kwa wakala maana jua Kali nikaona tena kurud ATM usumbufu.
Wakala nikampa Kadi akauliza kiasi, nikamwambia atoe laki1, akanipa mashine nikaweka namba ya siri, baada ya pale mtandao ikawa inasumbua, nikasubiri kama DK 20 ikawa bado inasumbua, akanipa Kadi namimi nlikua nawahi nikamwambia nipe Kadi maana huku kwangu SMS haijaja pia, ila kuhakikisha isije ikawa pesa imetoka nikaenda tena ATM kuangalia salio, kuangalia salio likawa lipo Sawa hakuna pesa iliopungua, nikajaribu kutoa laki 1 ikatoka, nikaangalia tena salio kuhakikisha kiasi kilichobak, kuangalia ikawa iliobak IPO Sawa ukitoa Ile laki niliotoa pale ATM.
KWA UHAKIKA ZAIDI TENA NIKARUD PALE KWA WAKALA WA CRDB NIKAMWAMBIA ANIPE NAMBA YAKE KAMA SMS IKIJA KWANGU NIRUDI KUCHUKUA PESA, AKANIPA NAMBA NIKAPIGA IKAITA KWAKE NA SIMU ALIKUA NAYO, NIKAONDOKA.
Kichekesho ni Leo nmeenda tena kutoa pesa ATM nimetoa 250,000 ila sasa nahamaki kuangalia salio kuna pungufu ya 1M, nikashtuka Sana nikapanda boda fasta kwenda Kwa wakala WA CRDB, kwenda kafunga, simu haipatikan.
MDA huu nmewapigia CRDB nmewaelezea ishu nzima wakaniambia Jana kuna kiasi cha milion moja kimetoka kwenda Kwa Yule wakala, nikamwambia sasa ananisaidiaje maana nmepita Kwa wakala kafunga na namba haipatikani! Akaniambia Kwa sasabu ni weekend nipite Kesho au jumatatu nikimkuta niwapgie niwape waongee nae Kwa uthibitisho kua Jana imetolewa M1 kwenda Kwa wakala ila kwangu SMS haijarudi.
Kinachofanya nione wakala ni tapeli ni kiasi kilichotoka na nilichosema kitolewe ni tofauti, Leo, kafunga, hapatikani, CRDB huduma Kwa wateja wananitoa hofu wanasema akaunti ya wakala yenye jina la kike IPO vizuri na ni MTU anafanya kazi tuu Hana Kona Kona, nikawaulza mbona jina la wakala la like ila pale nilimkuta dogo mwanaume, akaniambia labda kawekwa kama mfanyakazi
HAPANA NAHISI NIMEPIGWA NIENDEE TUU POLISI KESHO AU NIFANYEJE WAKUU
Pole sana mkuu subiri afungue uchukue pesa yakoUnaongea nini wewe? Nimeshapiga simu customer care na wamethibitisha pesa imetoka Kwa wakala japo ilichelewa Kwa sababu za mtandao, wamesema nisubiri afungue nichukue pesa yangu, kama asiponipa Niwapigie niwape simu waongee nae, sasa wewe unaongelea nini hapa
Simbanking app sio lazima namba ya simu uliyosajilia bank iwepo ukiwa na internet tu pesa inatokaTatizo namba ya simu banking niliiacha home na ni mbali
Kwenye kufungua hapo ndio mtiti Jana na Leo kimya, na namba ya huyo dogo haipatikan, Bora ingekua ofisi ya frem ni kakibanda kale kamtu mmojaPole sana mkuu subiri afungue uchukue pesa yako
Nakuelewa, Yani Meseji baada ya kutoa pesa Kwa wakala inakuja Kwa sms sio kwenye appSimbanking app sio lazima namba ya simu uliyosajilia bank iwepo ukiwa na internet tu pesa inatoka
Na mkiwaona wanashikwashikwa na wale watu wenye Black Noah msianze kupiga mayowe mitandaoni tu, usiibe, usiue na usiseme uongoLazima afungue sababu mawakala kama hao ni rahisi kuwapata
Usipende kumpa wakala kadi yako, toa pesa kwa Token kwenye simu yako.Jana tarehe 21 Feb 2025 mchana hivi kulikua na tatizo la mtandao CRDB BANK, nilipita ATM kutoa pesa lakini sikufanikiwa mtandao ulikua down Sana! Nikatoka pale nikaendelea na mambo yangu mengine, badae kidogo nikaona nijaribu tena kutoa Kwa wakala maana jua Kali nikaona tena kurud ATM usumbufu.
Wakala nikampa Kadi akauliza kiasi, nikamwambia atoe laki1, akanipa mashine nikaweka namba ya siri, baada ya pale mtandao ikawa inasumbua, nikasubiri kama DK 20 ikawa bado inasumbua, akanipa Kadi namimi nlikua nawahi nikamwambia nipe Kadi maana huku kwangu SMS haijaja pia, ila kuhakikisha isije ikawa pesa imetoka nikaenda tena ATM kuangalia salio, kuangalia salio likawa lipo Sawa hakuna pesa iliopungua, nikajaribu kutoa laki 1 ikatoka, nikaangalia tena salio kuhakikisha kiasi kilichobak, kuangalia ikawa iliobak IPO Sawa ukitoa Ile laki niliotoa pale ATM.
KWA UHAKIKA ZAIDI TENA NIKARUD PALE KWA WAKALA WA CRDB NIKAMWAMBIA ANIPE NAMBA YAKE KAMA SMS IKIJA KWANGU NIRUDI KUCHUKUA PESA, AKANIPA NAMBA NIKAPIGA IKAITA KWAKE NA SIMU ALIKUA NAYO, NIKAONDOKA.
Kichekesho ni Leo nmeenda tena kutoa pesa ATM nimetoa 250,000 ila sasa nahamaki kuangalia salio kuna pungufu ya 1M, nikashtuka Sana nikapanda boda fasta kwenda Kwa wakala WA CRDB, kwenda kafunga, simu haipatikan.
MDA huu nmewapigia CRDB nmewaelezea ishu nzima wakaniambia Jana kuna kiasi cha milion moja kimetoka kwenda Kwa Yule wakala, nikamwambia sasa ananisaidiaje maana nmepita Kwa wakala kafunga na namba haipatikani! Akaniambia Kwa sasabu ni weekend nipite Kesho au jumatatu nikimkuta niwapgie niwape waongee nae Kwa uthibitisho kua Jana imetolewa M1 kwenda Kwa wakala ila kwangu SMS haijarudi.
Kinachofanya nione wakala ni tapeli ni kiasi kilichotoka na nilichosema kitolewe ni tofauti, Leo, kafunga, hapatikani, CRDB huduma Kwa wateja wananitoa hofu wanasema akaunti ya wakala yenye jina la kike IPO vizuri na ni MTU anafanya kazi tuu Hana Kona Kona, nikawaulza mbona jina la wakala la like ila pale nilimkuta dogo mwanaume, akaniambia labda kawekwa kama mfanyakazi
HAPANA NAHISI NIMEPIGWA NIENDEE TUU POLISI KESHO AU NIFANYEJE WAKUU
Kwa Kadi lazima umpe kadi aweke kwenye mashineUsipende kumpa wakala kadi yako, toa pesa kwa Token kwenye simu yako.
Fungu la kumi hutolewa bila kulazimishwa lakini!Hilo ni fungu la 10 mkuu achilia
Hulazimishwi ila ukizingua kulitoa ndio hutokea mambo kama hayo ya kupoteza kwenye mazingira ya ajabuFungu la kumi hutolewa bila kulazimishwa lakini!
Shule huwa haina mwisho na zina gharama zake! 😄Una miaka mingapi hujawahi changia hata ujenzi wa kanisa?