Leo mjanja nimekamatika, naona kama nimetapeliwa Tsh. Milioni 1

Leo mjanja nimekamatika, naona kama nimetapeliwa Tsh. Milioni 1

Wewe subiri Jumatatu uone kama watafungua. Ukienda polisi sasa hivi utapoteza muda bure.
Hata CRDB wameshauri hivyo, hiyo Kesho naisubiri Kwa hamu, ikifika sa4 hajafungua naenda kwenye Tawi la CRDB kuripoti tena, nikiona hakuna Masada naenda polisi
 
"Auna unjanja oote" mkuu kabla ya yote nenda bank u print bank statement inayoonyesha huo muamala kwanza utaweza kusaidia baadae wakianza kukupiga dana dana
 
Kutoa hela kwa wakala si salama sana japo Kuna mazingira yanakulazimu kufanya ivo!

Mimi Kuna wakala, brother fulani maeneo ya njia panda ya segerea niliwahi kwenda kwake kutoa hela!

Nikatoa mara ya kwanza mtandao ukagoma!

Nikarudia kutoa mara ya pili ikakubali ilikuwa ni laki 4 na 50

Zikapita wiki mbili .. Nikaenda ATM kutoa hela naambiwa hakuna hela!

Kuwapigia simu watu wa NMB wakaniambia siku Ile nilifanya miamala 2 kwa wakati mmoja!

Nilivyorudi kwa jamaa kumuelezea na kumtajia na tarehe akaona ni kweli akanirudishia hiyo fedha

Tola siku hiyo, nikiwa na miamala wa kufanya naenda kwake!
 
"Auna unjanja oote" mkuu kabla ya yote nenda bank u print bank statement inayoonyesha huo muamala kwanza utaweza kusaidia baadae wakianza kukupiga dana danau

"Auna unjanja oote" mkuu kabla ya yote nenda bank u print bank statement inayoonyesha huo muamala kwanza utaweza kusaidia baadae wakianza kukupiga dana dana
Unaongea nini wewe? Nimeshapiga simu customer care na wamethibitisha pesa imetoka Kwa wakala japo ilichelewa Kwa sababu za mtandao, wamesema nisubiri afungue nichukue pesa yangu, kama asiponipa Niwapigie niwape simu waongee nae, sasa wewe unaongelea nini hapa
 
Kutoa hela kwa wakala si salama sana japo Kuna mazingira yanakulazimu kufanya ivo!

Mimi Kuna wakala, brother fulani maeneo ya njia panda ya segerea niliwahi kwenda kwake kutoa hela!

Nikatoa mara ya kwanza mtandao ukagoma!

Nikarudia kutoa mara ya pili ikakubali ilikuwa ni laki 4 na 50

Zikapita wiki mbili .. Nikaenda ATM kutoa hela naambiwa hakuna hela!

Kuwapigia simu watu wa NMB wakaniambia siku Ile nilifanya miamala 2 kwa wakati mmoja!

Nilivyorudi kwa jamaa kumuelezea na kumtajia na tarehe akaona ni kweli akanirudishia hiyo fedha

Tola siku hiyo, nikiwa na miamala wa kufanya naenda kwake!
Muaminifu huyo
 
Jana tarehe 21 Feb 2025 mchana hivi kulikua na tatizo la mtandao CRDB BANK, nilipita ATM kutoa pesa lakini sikufanikiwa mtandao ulikua down Sana! Nikatoka pale nikaendelea na mambo yangu mengine, badae kidogo nikaona nijaribu tena kutoa Kwa wakala maana jua Kali nikaona tena kurud ATM usumbufu.

Wakala nikampa Kadi akauliza kiasi, nikamwambia atoe laki1, akanipa mashine nikaweka namba ya siri, baada ya pale mtandao ikawa inasumbua, nikasubiri kama DK 20 ikawa bado inasumbua, akanipa Kadi namimi nlikua nawahi nikamwambia nipe Kadi maana huku kwangu SMS haijaja pia, ila kuhakikisha isije ikawa pesa imetoka nikaenda tena ATM kuangalia salio, kuangalia salio likawa lipo Sawa hakuna pesa iliopungua, nikajaribu kutoa laki 1 ikatoka, nikaangalia tena salio kuhakikisha kiasi kilichobak, kuangalia ikawa iliobak IPO Sawa ukitoa Ile laki niliotoa pale ATM.

KWA UHAKIKA ZAIDI TENA NIKARUD PALE KWA WAKALA WA CRDB NIKAMWAMBIA ANIPE NAMBA YAKE KAMA SMS IKIJA KWANGU NIRUDI KUCHUKUA PESA, AKANIPA NAMBA NIKAPIGA IKAITA KWAKE NA SIMU ALIKUA NAYO, NIKAONDOKA.


Kichekesho ni Leo nmeenda tena kutoa pesa ATM nimetoa 250,000 ila sasa nahamaki kuangalia salio kuna pungufu ya 1M, nikashtuka Sana nikapanda boda fasta kwenda Kwa wakala WA CRDB, kwenda kafunga, simu haipatikan.

MDA huu nmewapigia CRDB nmewaelezea ishu nzima wakaniambia Jana kuna kiasi cha milion moja kimetoka kwenda Kwa Yule wakala, nikamwambia sasa ananisaidiaje maana nmepita Kwa wakala kafunga na namba haipatikani! Akaniambia Kwa sasabu ni weekend nipite Kesho au jumatatu nikimkuta niwapgie niwape waongee nae Kwa uthibitisho kua Jana imetolewa M1 kwenda Kwa wakala ila kwangu SMS haijarudi.

Kinachofanya nione wakala ni tapeli ni kiasi kilichotoka na nilichosema kitolewe ni tofauti, Leo, kafunga, hapatikani, CRDB huduma Kwa wateja wananitoa hofu wanasema akaunti ya wakala yenye jina la kike IPO vizuri na ni MTU anafanya kazi tuu Hana Kona Kona, nikawaulza mbona jina la wakala la like ila pale nilimkuta dogo mwanaume, akaniambia labda kawekwa kama mfanyakazi


HAPANA NAHISI NIMEPIGWA NIENDEE TUU POLISI KESHO AU NIFANYEJE WAKUU
Download simbanking uwe unatoa pesa bila kadi
ya bank.
 
Unaongea nini wewe? Nimeshapiga simu customer care na wamethibitisha pesa imetoka Kwa wakala japo ilichelewa Kwa sababu za mtandao, wamesema nisubiri afungue nichukue pesa yangu, kama asiponipa Niwapigie niwape simu waongee nae, sasa wewe unaongelea nini hapa
Pole sana mkuu subiri afungue uchukue pesa yako
 
Simbanking app sio lazima namba ya simu uliyosajilia bank iwepo ukiwa na internet tu pesa inatoka
Nakuelewa, Yani Meseji baada ya kutoa pesa Kwa wakala inakuja Kwa sms sio kwenye app
 
Never, Tembea na RB mkuu akileta ujanja ujanja hio Kesho ita polisi kwa utaratibu weka mtu korokoroni...

Ushauri wangu ulishaokoa wengi na wanitumia sadaka kwa uaminifu mkubwa
 
Jana tarehe 21 Feb 2025 mchana hivi kulikua na tatizo la mtandao CRDB BANK, nilipita ATM kutoa pesa lakini sikufanikiwa mtandao ulikua down Sana! Nikatoka pale nikaendelea na mambo yangu mengine, badae kidogo nikaona nijaribu tena kutoa Kwa wakala maana jua Kali nikaona tena kurud ATM usumbufu.

Wakala nikampa Kadi akauliza kiasi, nikamwambia atoe laki1, akanipa mashine nikaweka namba ya siri, baada ya pale mtandao ikawa inasumbua, nikasubiri kama DK 20 ikawa bado inasumbua, akanipa Kadi namimi nlikua nawahi nikamwambia nipe Kadi maana huku kwangu SMS haijaja pia, ila kuhakikisha isije ikawa pesa imetoka nikaenda tena ATM kuangalia salio, kuangalia salio likawa lipo Sawa hakuna pesa iliopungua, nikajaribu kutoa laki 1 ikatoka, nikaangalia tena salio kuhakikisha kiasi kilichobak, kuangalia ikawa iliobak IPO Sawa ukitoa Ile laki niliotoa pale ATM.

KWA UHAKIKA ZAIDI TENA NIKARUD PALE KWA WAKALA WA CRDB NIKAMWAMBIA ANIPE NAMBA YAKE KAMA SMS IKIJA KWANGU NIRUDI KUCHUKUA PESA, AKANIPA NAMBA NIKAPIGA IKAITA KWAKE NA SIMU ALIKUA NAYO, NIKAONDOKA.


Kichekesho ni Leo nmeenda tena kutoa pesa ATM nimetoa 250,000 ila sasa nahamaki kuangalia salio kuna pungufu ya 1M, nikashtuka Sana nikapanda boda fasta kwenda Kwa wakala WA CRDB, kwenda kafunga, simu haipatikan.

MDA huu nmewapigia CRDB nmewaelezea ishu nzima wakaniambia Jana kuna kiasi cha milion moja kimetoka kwenda Kwa Yule wakala, nikamwambia sasa ananisaidiaje maana nmepita Kwa wakala kafunga na namba haipatikani! Akaniambia Kwa sasabu ni weekend nipite Kesho au jumatatu nikimkuta niwapgie niwape waongee nae Kwa uthibitisho kua Jana imetolewa M1 kwenda Kwa wakala ila kwangu SMS haijarudi.

Kinachofanya nione wakala ni tapeli ni kiasi kilichotoka na nilichosema kitolewe ni tofauti, Leo, kafunga, hapatikani, CRDB huduma Kwa wateja wananitoa hofu wanasema akaunti ya wakala yenye jina la kike IPO vizuri na ni MTU anafanya kazi tuu Hana Kona Kona, nikawaulza mbona jina la wakala la like ila pale nilimkuta dogo mwanaume, akaniambia labda kawekwa kama mfanyakazi


HAPANA NAHISI NIMEPIGWA NIENDEE TUU POLISI KESHO AU NIFANYEJE WAKUU
Usipende kumpa wakala kadi yako, toa pesa kwa Token kwenye simu yako.
 
Back
Top Bottom