Nimesoma na kuelewa vizuri, mimi nakuuliza wewe maswali ili utetee vyema hoja yako.
Hapa suala la kuwahi au kuchelewa kwa muamala sio ishu, maana mfano ungesubiri mpaka huo muda fedha imetoka, si ungeichukua, je kungekuwa na mgogoro wowote?? Jibu ni hapana
Sasa kwa kuwa hukuichukua, hoja ni namna ya kuthibitisha kuwa hukuichukua. Kama kungekuwa na camera ingekua rahisi sana ila kama hakuna camera, ni kipi kitakufanya wewe uaminike na sio wakala, incase akisema kuwa fedha ilivyotoka ulikuwepo na alikukabidhi!!