Leo mjanja nimekamatika, naona kama nimetapeliwa Tsh. Milioni 1

Hold on, hizo mashine huwa hazioneshi kiasi? Hiyo ni hatari kubwa na inabidi waubadilishe huo mfumo haraka.

Nilidhani ni mashine kama tunazotumia sehemu za biashara ambazo huwa zinaonesha kiasi.
Akishaweka kiasi, akipress next inakua dot 4 tuu za Mteja kuweka namba ya siri, namba ya siri ukishaandika ukimpa mashine yeye anakua haoni namba yako ya siri,inakua ****
 
B
 
Hold on, hizo mashine huwa hazioneshi kiasi? Hiyo ni hatari kubwa na inabidi waubadilishe huo mfumo haraka.

Nilidhani ni mashine kama tunazotumia sehemu za biashara ambazo huwa zinaonesha kiasi.
Kiasi kinaonekana kwa wakala wakati ana confirm jina. Kwa NMB wakala ana opt ya kuona mpk sura.. akiona sura haifanani na aliye dirishani nae ana haki ya kugoma kutoa hizo pesa.

La msingi ukihudumiwa dai risiti..
 
Hela yako utapata bila wasiwasi Ila usipendee kutoa hela Kwa wakala tumia zaidi sm banking
Yani sasaiv kama atm inasumbua Bora nilale njaa au nisifanye matumizi mpaka ikae Sawa, hawa watu hawaaminiki
 
Ndo umesha Liwa hvyo dogo janja na ukija polisi tunakuchapa 20k ya service yan ni mwendo wa kuzitoa tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…