Mtu-Pori
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 1,296
- 1,468
Nyingi sana.Hivi kuna bolt ya boda bodaboda?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyingi sana.Hivi kuna bolt ya boda bodaboda?
Boda bodaSasa hiyo bolt inapaa??..
Bolt inapaaa kumbeeKama unakuja mjini posta , daaa Leo ni huzuni Kuna foleni sio poa, gari hazitembei..
Kama umechelewa kazini, park gari lako request bolt uwahi ofisini
Hawa ni watu wawili tofauti kumbe?
Bolt yaweza kuwa Boda bodaSasa hiyo bolt inapaa??..
Hapo kwenye bei ndio napoipendea bolt, mimi huwa naangalia gharama kwenye bolt alafu nachukua boda kawaida kama ipo karibu, akishindwa bei narequest chap.Bolt kuna gari, kuna boda boda, kuna bajaj, ni uchaguzi wako unataka kipi kwenye app ya bolt. Na ni cheap tu kurequst bodaboda kupitia bolt maana huna haja ya kuanza bishana bei na dereva boda
Kumbe jijini naweza kuja na bodaboda yangu nikapiga helaBolt yaweza kuwa Boda boda
Angali space kwenye sentence, ni watu wawili tofauti..Hawa ni watu wawili tofauti kumbe?
Nina maana boda boda Mzee, Sasa unataka ku request gari?bolt itapita wapi kama kuna foleni,si bora boda
Wasukuma kila kitu hawajuiBolt kuna gari, kuna boda boda, kuna bajaj, ni uchaguzi wako unataka kipi kwenye app ya bolt. Na ni cheap tu kurequst bodaboda kupitia bolt maana huna haja ya kuanza bishana bei na dereva boda
Nina maana bolt ya boda.. Akili nzitoBolt ina mabawa?
Kwani hiyo Bolt inapaa angani?!Kama unakuja mjini posta , daaa Leo ni huzuni Kuna foleni sio poa, gari hazitembei..
Kama umechelewa kazini, park gari lako request bolt uwahi ofisini
Akili yako ndo nzito kudhani kwamba kila mtu anapanda boda. Sojawahi kuoanda boda mie mtoto wa mwenzakoNina maana bolt ya boda.. Akili nzito
umemaliza, uzi ufungweBolt ina mabawa?
Natuliaje wakat mbususu inasasambuliwa na wengine na mie ndio umeniambia wako hakuna mwengineTulia wewe
Siku ukipanda unagogwa unakufa basi tena😀😀Naomba app yao, unajua mimi na bodaboda haziivi hu ni mwaka wa tatu sijawahi kupanda
Watu wa Dar buana. Malalamiko kila siku foleni barabarani mkifika kazini mmeshachoka tayari. Kuamka saa 10 alfajiri kulala saa 5 usiku. Halafu kuna watu bado wanatamani wafanye kazi Dar.Kama unakuja mjini posta , daaa Leo ni huzuni Kuna foleni sio poa, gari hazitembei..
Kama umechelewa kazini, park gari lako request bolt uwahi ofisini