Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkiambiwa mpnge posta mnlialia kujenga nje ya mjiKama unakuja mjini posta , daaa Leo ni huzuni Kuna foleni sio poa, gari hazitembei..
Kama umechelewa kazini, park gari lako request bolt uwahi ofisini
Khe! Si unasemaga hauna wivu na mbususu leo imekuaje kwani? Kuwa serious basi kama nilivyokuzoeaNatuliaje wakat mbususu inasasambuliwa na wengine na mie ndio umeniambia wako hakuna mwengine
Ah nzi kafia kwenye kidonda bwanaKhe! Si unasemaga hauna wivu na mbususu leo imekuaje kwani? Kuwa serious basi kama nilivyokuzoea
Ila Jf, kwahiyo watu hawajui kama app ya bolt Ina option ya pikipiki aloo[emoji1787][emoji1787]
Mikoa mingine sawa ila kwa Dar ningeshangaa sanaWatu wa mikoani hao [emoji1787]
Hebu nipisheAh nzi kafia kwenye kidonda bwana
Utaiendeshea wap sana Sana ni kujinunulia matatizo,/ ulemavu/ kifo kwa dar es salaam hakuna sehemu utaiendesha kwa Raha...Asante kwa taarifa, ngoja nikanunue baiskeli.
Bolt inapita angani!!??Kama unakuja mjini posta , daaa Leo ni huzuni Kuna foleni sio poa, gari hazitembei..
Kama umechelewa kazini, park gari lako request bolt uwahi ofisini
Bolt ina paa?!...park gari lako request bolt uwahi ofisini
Mkuu wewe ni msukuma wa sehem gani?Bolt ina paa?!
Wapi hapo kuna ajira nijipatie jobDuh aiseee kazi ipo
PandagichizaMkuu wewe ni msukuma wa sehem gani?
Mbona leo asibuhi nimeipanda mpaka mwenge cijagongwa.Siku ukipanda unagogwa unakufa basi tena[emoji3][emoji3]
bila kusahau Amsterdam kwa wadutch.Utaiendeshea wap sana Sana ni kujinunulia matatizo,/ ulemavu/ kifo kwa dar es salaam hakuna sehemu utaiendesha kwa Raha...
Dar es salaam ☺️
Labda ungekua miji Kama ujerumani pale Berlin, Munich, Vienna kule Kuna barabara maalumu za waendesha BAISKELI bila KUSAHAU uingereza miji ya London, Liverpool e.t.c
Trueeeebila kusahau Amsterdam kwa wadutch.
Tutabanana humuhumu, baiskeli ina raha yake Dr.